Basi wapinzani wote wawe CCM km kuwa upinzani hakuna maana yeyote ya kufikia wanakotamani.
..hapana.
..HAKI itendeke wakati wa uchaguzi.
..kama Samia anajiamini, na ni mkweli kuhusu 4R, hakupaswa kupiga danadana Tume Huru, na Katiba Mpya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi wapinzani wote wawe CCM km kuwa upinzani hakuna maana yeyote ya kufikia wanakotamani.
Yupo mtaani anapiga kazi kwa niaba ya Rais na kwa ajili ya Taifa lake. Unataka muda wote awe mitandaoni?Mwanamke mwenzio Lucas kakimbia wewe utaweza?
Wapinzani piganieni lile mnaloliamini. Sio kosa. Kama ambavyo Rais naye anapaswa kupigania 4Rs zake vile anavyoamini. Sio kosa pia...hapana.
..HAKI itendeke wakati wa uchaguzi.
..kama Samia anajiamini, na ni mkweli kuhusu 4R, hakupaswa kupiga danadana Tume Huru, na Katiba Mpya.
hakuna ubaya, ila nikurudia points moja mara mbili.Ubaya upo wapi tukisema hivyo?
Tuendelee kuimarisha Taifa letu soteNi suala la muda
Wapinzani piganieni lile mnaloliamini. Sio kosa. Kama ambavyo Rais naye anapaswa kupigania 4Rs zake vile anavyoamini. Sio kosa pia.
Nani kawanyima nafasi wanaoweza kushawishi? Wao wenyewe wapambane..unasema hivyo kwasababu unajua DOLA iko nyuma yake.
..lakini nakuhakikishia atakuwa mgombea asiyeweza kujenga hoja, na kushawishi, kuliko wagombea wenzake.
UWT mnapeana zamu? hongerenniYupo mtaani anapiga kazi kwa niaba ya Rais na kwa ajili ya Taifa lake. Unataka muda wote awe mitandaoni?
Kwani nani kamlazimisha kuja na 4Rs zake? Hakuna. Sasa kwa nini apangiwe namna ya kutekeleza? Sio sawa...hapiganii 4R.
..ni ulaghai, au hajui maana yake.
Rais mtaani anakubalika zaidi kuliko mitandaoni. Mitandaoni wajuaji wengiUWT mnapeana zamu? hongerenni
Kuna shida nikiandika vile tutakavyo? Hakuna. Kama ambavyo hakuna shida kuelewa vile utakavyo.hakuna ubaya, ila nikurudia points moja mara mbili.
kwanini usingeandika "ni mwanamke wa kwanza kuwa mwenyekiti wa chama cha mapinduzi?"
Nani kawanyima nafasi wanaoweza kushawishi? Wao wenyewe wapambane
Sasa mtaendelea kulalamika hadi lini? Hebu tuanzie hapo...Polisi, Usalama, na Tume, wako dhidi ya wagombea wa upinzani, huku wakipendelea wagombea wa Ccm.
..Mgombea wenu mnajua hana uwezo, ndio maana mmeanza kampeni mapema, na akitumia za ufisadi kuhonga.
Kwa raha zako. Na kwa raha ya Taifa lakoKwa mambo anayofanya mama kwa watumishi rasmi sasa mm ni chawa wake..
Sasa mtaendelea kulalamika hadi lini? Hebu tuanzie hapo.
umesema tuongezee rekodi zake, nami nmekuongezea rekodi yake nyingine kuwa;Kuna shida nikiandika vile tutakavyo? Hakuna. Kama ambavyo hakuna shida kuelewa vile utakavyo.
Kwa mwenendo wako je utakufikisha ? Harafu hivi raisi alirithi au alikaimu madaraka ?Sasa kupima vinasaba vinasaidia kweli kufikia ndoto za kutawala nchi? Sidhani
Hakuna unyang'anyi unaofanyika. Wapinzani wajipange vizuri mitaani wakubalike...Na nyinyi mtaendelea na unyang'anyi na ufisadi mpaka lini?