Nilikuwa naamini hivyo lakini sasahivi kwa hapa kwetu tatizo ni kubwa mno kuliko wanavyotaka kutuaminisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa naamini hivyo lakini sasahivi kwa hapa kwetu tatizo ni kubwa mno kuliko wanavyotaka kutuaminisha
Acha tulipie uzembe uliosabishwa na serikali toka mwanzo ilishindwa kuonyesha reaction yoyote unashindwa funga mipaka kisa watalii nani bora kati ya mwananchi na mtalii pesa ina thamani kuliko uhai wetu
Nb: Serikali imehusika kwa uzembe ktk hili.
Wabongo, hasa wanaoshabikia upinzani kwa sasa, kwa sababu "Mission Town" na "Deals" zao zimewekewa kufuli, wamekosa mwelekeo.Usipende kulaumu laumu kwanza ingejiuliza why hawakufanya kama wewe unavyotaka,wabongo bwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwako kuna mgonjwa?bado hujafikiwa ndio maana unapanua kinywa hap
Labda wapo kimya kwa maelekezo ya mzee mwenyewe. Mi naona serikali imekosa cha kufanya na kuwaachia wananchi mzigo baada ya ile kauli "Mjifukize" which is not rightKama bado unang'ang'ania kazi ambayo umesusa huifanyi, kwa nini usishtakiwe kwa uhujumu uchumi? Mtu yeyote anayetaka aeleweke na kuaminika hawezi kufanya mchezo huo mchafu wa kususa wakati wa vita. Ni mpiganaji gani hataki kukosolewa na kuelekezwa pale anapoona amekosea? Huyu si msaliti huyu na hastahili hata kuwa huru uraiani na sembuse kwenye msitari wa mbele?
Hawatufai hawa. wanatakiwa waondolewe na wakae mbali na uwanja maana wataendelea kutusaliti kwa akili zao finyu wakidhani wanamkomoa mkuu wao kumbe wanatuangamiza. wengine nje ya sanduku wapo wengi sana wenye nia na uwezo wa kuenda naye. Pengine hawa wameshakomaa katika mfumo taralila . Sasa hawezi kuwakunja ndiyo sababu wanagangamala.
Anatakiwa aweke watu wapyakabisa ambao hawajafanya kwenye taralila.
Huelewrki ulichoandika....sasa miradi gani itaendelea wakati watu wanapambana na gonjwa la hatari....
kwa majirani kuna wliokufa kwa kile mkiitacho changamoto za upumuji na kila siku unaona breaking humuKwako kuna mgonjwa?
Alishauriwa mapema kufunga mipaka kwa abiria ili kulinda taifa akawa mbishi akisema miradi itasimama, sasa miradi gani itaendelea wakati watu wanapambana na gonjwa la hatari
sasa miradi yote ndio itaenda kusimama sababu ya kutofikiria, wazungu washaogopa tayari kufanya kazi sehem isiyo na usalama hawataweza,
Sent using Jamii Forums mobile app