Hii ni bahatnasibu. Ugonjwa nao unauwezo wa kutengeneza mutation za ajabu ambazo inawezachukua muda kuonesha dalili ila siku ukiona dalili ndyo umekwisha.
Tena hii itatokea africa sababu kubwa itakuwa ni.
1. Unywaji wa mitishamba isiyokuwa na kiwango maalumu.
Waafrica wengi tumerudi kwenye kutumia mitishamba ili kupambana na corona. Ila hii nayo inaweza kuwa hatari kiafya. Combination ya dawa za asili tunazo kunywa hazina dozi maalumu hivyo basi hii inaweza sababisha corona virus nayo kumutate au kuchange DNA na kuja na hybrid ya virus ambayo ni very strong.
2. Matumizi yasiyo sahihi ya vitakasa mwili.
Hivi sasa ukizunguka mijini kila sehemu kuna sabuni na maji . Sabuni zinazotumika sio zote zipo recommended na WHO. Wengine wanatumia mpaka dawa za kusafisha vyoo, wengine wanadilute sanitizer na wengine wameenda mbali hadi kuchanganya sabuni kwenye maji.
Hii nayo inaeffect kubwa kiafya. Ni ngumu kueleza kwa lugha ya kiswahili ila kwa kifupi hii nayo italeteleza virus kumutate ( sabuni nyingine zinaweza kudamage virus na sio kuiuwa) na kuwa very strong hata sanitizer zisiwe na msaada tena.
3. Utofaut wa hali ya hewa.
Virus inatabia ya kuadopt tokana na mazingira. Adoption inaivolve distortion of DNA. Sasa wenzetu uko wanaumiza kichwa kutafta chanjo kutokana na mazingira yao. Sisi huku africa tumekaa tunasubiri chanjo yao. Usishangae siku chanjo inapatikana ila haiwi effective africa. Kumbuka kipind mripuko unaanza, ilisemekana maeneo ya joto virus havisurvive kwa muda mrefu ila hivi sasa vimepiga kila kona. Mpaka sasa lazima kuna distortion ya Coronavirus DNA ambayo imeleteleza kuwa na Coronavirus inayo straive sehemu ya joto na nyingine sehemu ya baridi.
All in all wote wenye afya duni na magonjwa kama HIV, kisukari, BP, TB, etc wont survive this.
Sent using
Jamii Forums mobile app