#COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19
tujadili:

hakuna ubishi kwamba dar es salaam ni mji ulioathiriwa na kirusi cha corona kuliko miji yote ya jamhuri.

kwa sisi wakazi wa dar es salaam inabidi sasa tupeane tahadhari juu ya maeneo au vitongoji vilivyoathirika zaidi ili kuchukua tahadhari na hasa ikibidi tuzishinikize mamlaka ziviweke kwenye lockdown. mfano kama kitongoji A kinaonekana kina waathirika wengi kitangazwe na watu wake wawekwe lockdown wiki 2 wanunue na kuuza ndani ya kitongoji chao tu wasiende vitongoji vingine na wala isiruhusiwe watu wa kutoka maeneo mengine kuenda kwenye kitongoji hicho.

tuanze kuvitaja.

huku niliko kitongoji changu kina ZERO cases 🙏🏽
 
Nadhani wanapozikwa watu wengi ndio kitongoji husika kimfano sidhani kama mtu wa chanika anaweza kuzikwa ununio au kisutu nadhani. Makaburi ni ishara tosha kwako mwananchi

Chukua tahadhari covid-19 babalao

Sent using myLG leon
 
tujadili:

hakuna ubishi kwamba dar es salaam ni mji ulioathiriwa na kirusi cha corona kuliko miji yote ya jamhuri.

kwa sisi wakazi wa dar es salaam inabidi sasa tupeane tahadhari juu ya maeneo au vitongoji vilivyoathirika zaidi ili kuchukua tahadhari na hasa ikibidi tuzishinikize mamlaka ziviweke kwenye lockdown. mfano kama kitongoji A kinaonekana kina waathirika wengi kitangazwe na watu wake wawekwe lockdown wiki 2 wanunue na kuuza ndani ya kitongoji chao tu wasiende vitongoji vingine na wala isiruhusiwe watu wa kutoka maeneo mengine kuenda kwenye kitongoji hicho.

tuanze kuvitaja.

huku niliko kitongoji changu kina ZERO cases [emoji1431]
Kwenu wamekufa wangapi kwa maambukizi yaliyosababishwa na maombi ya rais Magufuli??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti kwa sababu anawageuka na kuwapa lawama wametulia na kukaa pembeni na kusubiri atakapotoa neno ndio wanaenda kulifanyia kazi na kunyamaza tena. Kweli watu wamechoka kuburuzwa kama punda kisha kutolewa kafara. unaambiwa kila idara imeganyika vipande vipande hawajui wafanye lipi waache lipi.so solution wanaona ni kususa tu.
 
Eti kwa sababu anawageuka na kuwapa lawama wametulia na kukaa pembeni na kusubiri atakapotoa neno ndio wanaenda kulifanyia kazi na kunyamaza tena. Kweli watu wamechoka kuburuzwa kama punda kisha kutolewa kafara. unaambiwa kila idara imeganyika vipande vipande hawajui wafanye lipi waache lipi.so solution wanaona ni kususa tu.

Hivi Kama baba nyumbani hutaki kusikiliza ushauri wa mkeo na watoto, kila wanachosema au kushauri wewe ni kuwatukama na kuwapuuza...KWANINI WASIKUSUSIE?
Jiwe ameyataka menyewe!This time around CORONA inakwenda kuumbua mtu! This is not MAKINIKIA my friend!
 
Kwani likizo yake ya "PASAKA" haijafikia mwisho tu????[emoji848][emoji2955]

Maana anatuambia tufanye kazi, uchumi usiyumbe ila cha ajabu yeye kajifungia kijijini kwao. Tunamlipa mshahara kutoka kwenye kodi zetu walala hoi.... Si arudi kazini dodoma au dar akapige na yeye kazi hata za kupambana na hili janga, ili uwe mfano kwetu.
 
Back
Top Bottom