*Kwenye issue ya Corona wala hapahitaji kuwa na degree kujua kunatumika nguvu kubwa ndani na nje ya Taifa letu kuonyesha* *kwamba Tanzania ni kama Italy yaani watu wanaumwa hovyo na kufa kama kuku wa kideli,*
*Anyway hebu tufanye utafiti mdogo tu tukianza na wewe mwenyewe jiulize mtaani kwako* *vifo vingapi???*
*Wagonjwa wangapiunaowajua???*
*Kisha rudi ndani ya familia yako kuna mgonjwa au kifo cha corona ???*
*Kisha nenda kwa rafiki zako je kuna hivyo vitu ???*
*Kisha jiulize haya tunayoambiwa yanaweza kufanyika sirini???*
*Kwa faida ya nani??*
*Je serikali ndio imeleta ugonjwa huu??*
*Akili kuambiwa changanya na zako ni aibu sana watu wazima kufikiri kama watoto*[emoji57][emoji57][emoji57]
*Sasa nasema hivi tuendelee kuchukua hatua elekezi lakini tukiwa na Imani tumeshinda hii vita ndio maana makelele mengi mnooo kama vile corona iko* *Tanzania tu*
[emoji41][emoji41][emoji41]
*Corona ni hatari lakini hofu ya wapumbavu ni hatari zaidi mkome kutisha watu*[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Sent using
Jamii Forums mobile app