Habari za siku nyingi wapendwa.

Naona sasa watu mnakimbia mjini kisa korona mnakuja vijijini.

Hivi mna mpango gani na hawa wazee,baba zetu,mama zetu,babu zetu na bibi zetu si mmekuja kuwaua kabisa na huu ugonjwa.

Watu mliopo Kitunda,Banana,Mwanagati Nyantira Mabibo mtuhurumie masikini.

Mbaya zaidi mtu analeta familia kijijini halafu anarudi Dar kuendelea na shughuli zake akisema hali ikizidi kuwa mbaya atarudi kijijini kwa familia yake, weya si mnakuja kuua kabisa wazee wetu??

Mbona waliopo Kenya hatuwaoni wanarudi huku?

Sasa najiuliza hii harusi iliyokuwepo jana hapa kijijini,nusu ya watu walitoka Dar sijui itakuwaje kwa kweli



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi nzima inategemea Dar kupima korona, wanaopimwa ni wachache wenye dalili, hata kama unayo dalili na uko vijijini au mikoani huwezi kupimwa kirahisi au kabisa. Hii ni hatari kubwa kwa nchi inayoweza kuleta balaa ambalo haliawahi tokea hasa kutokana na ulegevu wa lockdown na kufunga mipaka ya abiria. Mpaka leo Zanzibar yenye wagonjwa zaidi baada ya Dar, ambako kunavutia wageni wengi, hakuna mashine ya vipimo.

Tunanunua ndege kwa haraka kiholela lakini tunakwama kwenye vitu muhimu vya Afya? Bila Afya hakuna nchi, baba wa taifa alisaidia uandishi wa nyimbo za Afya na kusema Afya ni nguzo ya nchi, Awamu ya pili mpaka ya tano zimetukwamisha.
 
Wana "c&p" toka kwa Mzee Baba, yale yote mema bora kuiga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam wanajukwaa, nimekua nikitafakar maisha miez mitatu ijayo binafs Niko kwenye utalii Hali ni mbaya sana Lakin ni kila mahali, naombeni mawazo wazee tunafanyaje Familia ziendelee kupata milo mitatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unasema "hali ni mbaya sana" still unafikiria milo 3 kwa Siku ?!! fikiria kwanza mlo mmoja,,kwenye dharura kama hii milo 3 ni anasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…