Kwanza tukupongenze kwa namna ulivolipokea na kulishughulikia tatizo LA Corona,hukuruhusu hofu, ukamtanguliza Mungu, ukauona ni ugonjwa ambao hautofautiani sana na magonjwa ya kawaida ya Waafrika ambayo hayawapi shida sana katika maisha yao ya kila siku kama vile Mafua makali lakini pia hukupuuza taratibu za kitaalamu.
Vilevile umeheshimu na kuthamini utamaduni wetu wa mitishamba ambayo ina nafasi kubwa sana katika mchango wa afya za watanzania na kwanza hata madawa mengi ya kizungu hutokana na Miti ya asili.
kwa namna ulivolishughulikia tatizo hili,umelishughulikia kishujaa kama ambavyo unapotaka kushinda changamoto yeyote njia ya kwanza ya ushindi ni kupokea changamoto hiyo ukiwa umeishinda tayari, siyo kama imekushinda kwa hiyo ili technique hiyo itimie ni lazima usiwe na hofu,uibeze na upambane nayo kwa kutumia jitihada zozote,hata siraha ambazo unadhan ni hafifu kama mikuki, rungu, mundu, jambia nk we tumia so lazima mabomu ndo upambanewaweza shangaa siraha duni kama hizo zikawa na mafanikio makubwa kuliko madawa yanayocheleweshwa kwa kufanyiwa tafiti huku watu wakiangamia.
Na sasa umetamka unafikiria kifungua michezo ili iendelee,sisi tunasema hayo ni maono mazuri si michezo tu fikiria na mengine zaidi wakati wizara ya afya inatekeleza yafuatayo, katika kambi za karantini kuwepo na program kabambe za kujifukizia, hizo dawa za wenzetu wa Madagascar zitakapofika zisambazwe vizuri ktk kambi za karantin na zitumike vyema na wagonjwa watolewe hofu tuna imani kwa techniques hizo watu watakuwa wakifikishwa karantini na kuruhusiwa kurudi katika familia zao wakiwa wamepona kabisa.Tunakutakia mapambano mema tukikuombea kwa Allah akutangulie uwavushe watanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vilevile umeheshimu na kuthamini utamaduni wetu wa mitishamba ambayo ina nafasi kubwa sana katika mchango wa afya za watanzania na kwanza hata madawa mengi ya kizungu hutokana na Miti ya asili.
kwa namna ulivolishughulikia tatizo hili,umelishughulikia kishujaa kama ambavyo unapotaka kushinda changamoto yeyote njia ya kwanza ya ushindi ni kupokea changamoto hiyo ukiwa umeishinda tayari, siyo kama imekushinda kwa hiyo ili technique hiyo itimie ni lazima usiwe na hofu,uibeze na upambane nayo kwa kutumia jitihada zozote,hata siraha ambazo unadhan ni hafifu kama mikuki, rungu, mundu, jambia nk we tumia so lazima mabomu ndo upambanewaweza shangaa siraha duni kama hizo zikawa na mafanikio makubwa kuliko madawa yanayocheleweshwa kwa kufanyiwa tafiti huku watu wakiangamia.
Na sasa umetamka unafikiria kifungua michezo ili iendelee,sisi tunasema hayo ni maono mazuri si michezo tu fikiria na mengine zaidi wakati wizara ya afya inatekeleza yafuatayo, katika kambi za karantini kuwepo na program kabambe za kujifukizia, hizo dawa za wenzetu wa Madagascar zitakapofika zisambazwe vizuri ktk kambi za karantin na zitumike vyema na wagonjwa watolewe hofu tuna imani kwa techniques hizo watu watakuwa wakifikishwa karantini na kuruhusiwa kurudi katika familia zao wakiwa wamepona kabisa.Tunakutakia mapambano mema tukikuombea kwa Allah akutangulie uwavushe watanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app