Kujifukizia sio dawa?,Shule na vyuo vitafunguliwa baada ya dawa ya corona na chanjo ya corona kugunduliwa na kuthibitishwa na WHO na kisha kusambazwa duniani kote ikiwemo Tanzania. Na huo ndio utakuwa mwisho wa corona.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujifukizia sio dawa?,Shule na vyuo vitafunguliwa baada ya dawa ya corona na chanjo ya corona kugunduliwa na kuthibitishwa na WHO na kisha kusambazwa duniani kote ikiwemo Tanzania. Na huo ndio utakuwa mwisho wa corona.
Naunga mkono hojaNa ligi ifunguliwe tukacheki kabumbu aisee,wapi Kichuya
Yeye ulishawahi kumuona amevaa? Si anasema mabeberu yameziwekea Corona.Mheshimiwa Rais, pamoja kuwa watu wako huru kufanya chochote kipindi hiki cha Corona, toa amri basi angalau kila mtu nchi nzima iwe ni lazima kuvaa barakoa.
Utafiti unaonesha hata barakoa ikiwa ya kitambaa husaidia mwathirika akikohoa mate yasiruke na kusambaza virusi, lakini pia huzuia uwezekano wa mtu kujigusa mdomoni, machoni na puani na kuambukizwa virusi.
Ziko Barakoa za vitambaa za kutengeneza wenyeweYeye ulishawahi kumuona amevaa? Si anasema mabeberu yameziwekea Corona.
Hazitaki na haamini kama kuna Corona. Umewahi kumsikia akihamasisha hata siku moja?Ziko Barakoa za vitambaa za kutengeneza wenyewe
Alwahi kusema''Hatuwezi kuishi kwa kutegemea mavitambaa usoni''.Ziko Barakoa za vitambaa za kutengeneza wenyewe
Itabidi tuwe tunavaa PPE yale maovaroli ya madokta wa Corona 24/7/365Kwa mfano chanjo isipatikane kabisa. Shule hazitafunguliwa mkuu??
Kama WHO wakiithibitisha kitaalam na vipimo vya dozi vikifanyiwa utafiti ikikubaliwa na uthibitisho wa uwezo wa dawa kama dawa inaponya kabisa basi WHO watasema kujifukiza ndio dawa rasmi ya corona.Kujifukizia sio dawa?,
Kuna ugonjwa unaitwa uzwazwa huu specifically kwa watanzania tu WHO watapima inawahusu mini?Kama WHO wakiithibitisha kitaalam na vipimo vya dozi vikifanyiwa utafiti ikikubaliwa na uthibitisho wa uwezo wa dawa kama dawa inaponya kabisa basi WHO watasema kujifukiza ndio dawa rasmi ya corona.
Scotland
Hapo ndo tutajua Elimu ni zaidi ya makaratasi na kufaulu mitiani.Sisi tunajifunza kuishi na Covid 19 kama tunavyoishi na malaria