sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,640
- 11,680
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaogopa kufaLeo waziri wa uwekezaji mh Kairuki amenishangaza kidogo, ameingia bungeni na chupa kubwa kama chupa ya chai...
Hapo kwenye pesa watashikwa wengi..Makaratasi Yale wanayobadilishana mule Bungeni ni hatari sana kwenye kusambaza Covid -19.so kwa mtu anayejijari kila baada ya kushika kitu toka kwa mtu mwingine hata Kama ni pesa ni muhimu kunawa mikono kwa sabuni au kutumia sanitizer
Ndo maana nawahurumia sana traffic wa nchi hii.Ile pesa ya kiwi lazima iwsrestishe in piece wengiHapo kwenye pesa watashikwa wengi..
tunusuriketunusulike
Ni wazo zuri,Ila serikali yetu bado haieleweki msimamo wake na janga hili kila siku yanaibuka mapya.Huu ugonjwa ni hatari sana umegharimu maisha ya watu duniani mpaka sasa Usa pamoja na kujinadi kuwa ni taifa lenye uwezo kwa kila kitu lakini takribani 70000+ wamefariki...
Hayo mapya na hili walichukue.Ni wazo zuri,Ila serikali yetu bado haieleweki msimamo wake na janga hili kila siku yanaibuka mapya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Logically wapo kwa sababu hali hiyo ipo.Katika wale waliofariki so far unaweza kutaja wangapi ambao wamefariki sababu ya kushindwa kwenda clinic India au Afrika kusini sababu ya magonjwa mengine?
Kama hutaki kutaja majina hebu taja idadi tu
Huo sio msimamo wa serikali.Wanaokufa ni wachache hivyo sisi tumeamua watakaondoka waondoke na watakaobaki wapige kazi!
Chadema ilijiua yenyewe 2015Vita dhidi ya Chadema ni priority kuliko covid 19..