Partial Lockdown kwa mashule?!. So una maanisha..... okay, labda hujui maana ya partial LockdownKaa umsuburi asielemewe ndipo uchukue hatua.
Wewe huoni amefanya partial lockdown kwa shule na vyuo? Au unahitaji sign kutoka mbinguni ndipo akili ikukae sawa?
Alipaswa aungane na manesi na madaktari mstari wa mbele au sio?
Mwenzio yuko kwa mama ake wewe kaa umsubiri arudi magogoni na chamwino akutangazie hali ya hatari ndio uelewe vizuri
Subiri sign kutoka mawinguni ili ujue hali si shwari mazee....Partial
Partial Lockdown kwa mashule???!!!!!. So una maanisha..... okay, labda hujui maana ya partial Lockdown
Sijui kama ulielewa maana ya huu uzi, alie anzisha alitaka tuweke maneno ya wanasiasa kabla ugonjwa haujaingia Tanzania. Mimi nime quote maneno ya Rais, sasa nashindwa kuelewa kwanini umeamua kuni attack.Subiri sign kutoka mawinguni ili ujue hali si shwari mazee....
Usiamini maneno ya wanasiasa nyakati zote, ugonjwa upo tele umesambaa.Sijui kama ulielewa maana ya huu uzi, alie anzisha alitaka tuweke maneno ya wanasiasa kabla ugonjwa haujaingia Tanzania. Mimi nime quote maneno ya Rais, sasa nashindwa kuelewa kwanini umeamua kuni attack.
Kana kwamba mimi ndo naamini maneno yake aliyosema, labda hukuelewa huu uzi na nia yake. Jaribu kusoma tena kabla hujaa ni qoute na ku comment.
Siamini maneno ya wanasiasa, nachukua tahadhari zote. Nasikiliza wataalamu wanachosemaUsiamini maneno ya wanasiasa nyakati zote, ugonjwa upo tele umesambaa.
Nilimaanisha hivyo, pamoja na hizi nukuu zilizotolewa ugonjwa una exist watu wachukue tahadhari sahihi waachane na porojo .
PointUnajua sasa tumesitisha kutoa yale ma Bilioni ya capitation?
Unataka tufungee tuanze kuyatoa eeehhh!!!
Lipa kwanza kodi
Kabisa, people take things easy.corona bado ipo, huwezi kurisk maisha ya wanafunzi