k29
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 730
- 1,211
Partial
Partial Lockdown kwa mashule?!. So una maanisha..... okay, labda hujui maana ya partial LockdownKaa umsuburi asielemewe ndipo uchukue hatua.
Wewe huoni amefanya partial lockdown kwa shule na vyuo? Au unahitaji sign kutoka mbinguni ndipo akili ikukae sawa?
Alipaswa aungane na manesi na madaktari mstari wa mbele au sio?
Mwenzio yuko kwa mama ake wewe kaa umsubiri arudi magogoni na chamwino akutangazie hali ya hatari ndio uelewe vizuri