#COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19
Usitegemee Kovid-19 ikaisha completely hapa Tz na pengine Africa. Haipo na haitatokea.

Imeshasambaa mnoo na mwingiliano ni mkubwa sana kati yetu na pia mataifa mengine duniani...
Hii vita tunaishinda naimani kubwa sana juu ya hili
 
Tazamenihii video kwa makini

today 9/May/2020
Coronavirus Cases: 440
Deaths: 6
Recovered: 366
No lock down at all


 
1. Kuanzia Mapema kabisa ningedhibiti mipaka na Aiports kwa kuhakikisha kila anayeingia ni corona free.

2. Ningetoa updates kila siku ya magnitude ya ugonjwa, vifo na recoveries ili watu wachukuwe tahadhari kwa kutumia taarifa sahihi.
3. Ningetenga bajeti wezeshi kwa ajiri ya PPE kuwalinda front liners wanaohatarisha maisha yao.
4. Ningezuia mikusanyiko yote inayohatarisha maambukizi ikiwepo kuzuia kwa mda michezo, masule nk ibada makanisani na misikitini. Kuzuia mikusanyiko kwenye mabaa .

5. Ningetoa amri ya kuvaa mask kwa kila mtu on top of frequent sanitization of hands.

6. Nisingeingilia kwa namna yoyote taratibu za kitaalamu kwenye makabiliano na corona.

7. Aggressive measures measures ikihusisha upimaji , partial rock down ningeelekeza kwenye hard hit cites kama DSM na Arusha kuhakikisha ugonjwa hausambai

Tatizo tuliowapa dhamana walizembea toka mwanzo as a result people are dying out there and there is nothing we can do any more . just waiting for our turn
 
Najibu Maswali haya kuhusu Corona kwenye video hii kwa kupitia BBC Swahili:
1. Je Papai inaweza kuwa na Corona?
2. Je dawa ya Madagascar inatibu Corona?
 
Kwa maoni yangu, Serikali ndio inayofahamu makali ya CORONA hapa kwetu. Nashauri madarasa ya Mitihani wawahi kufungue shule( vyuo na shule zilizo chini ya NECTA) kwa sasa.

Maana utaratibu wa maisha wa kupambana na hili gonjwa haujabadilika sana. Hii itasaidia kupunguza kuvurugika kwa mihula.
Mwanao akifa, ndiyo atakuwa amechangia mihula ya masomo kutoharibika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kelele kuwa nyingi toka kwa baadhi ya watu kuhusu namna tunavyochukulia corona, tulisikika tukisema:

1. Hatuwezi kuzuia wachina kwa kuwa ni watalii acha waje watakuza uchumi wetu
2. Wachina wanaokuja hawatoki Wuhan ambako ni chimbuko la maambukizi
3. Wachina ni ndugu zetu hatuwezi kuwazuia
4. Baada ya muda tukaona tangazo mchina anatafutwa akisemekana ana corona
5. Wenzetu wanaathirika sana kwa kuwa nchi zao ni za baridi sisi ni kwetu kuna joto
6. Muafrika ana ngozi ngumu tumafua tunagonga mwamba

Ongeza na zako unazozikumbuka
Ninoma baba yani tulivyo uzalau huu ugonjwa ndivyo na wenyewe unavyo tuzarau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usimfananishe na Musa unakashifu imani za walio wengi. Labda umfananishe na huyu Mfalme wa dola ya Kirumi aliyetawala kuanzia 37- 41 kwa jina CALIGULA.

Gaius Caesar aliyepewa jina la Caligula “kiatu kidogo” alizaliwa Augst 31 mwaka 12 Baada ya Kristo yaani B.K. katika mji wa Antium kwa sasa unaitwa Anzio huko Italia. Alikuwa mtoto wa tatu katika watoto sita walizaliwa na Germanicus na mkewe Agrippina mkubwa. huyu alichukua uongozi toka kwa Tiberius akiwa ni mtawala wa Roma kuanzia mwaka 37 B.K na kuchukua jina la Gaius Caesar Germanicus.

Kumbukumbu zinaonesha alikuwa ni mmoja ya watawala wakatili sana asiye na huruma, asiyetabirika na mwenye roho mbaya.alikamata watu wote ambao walikuwa wakimpinga na kuwa hukumu kifo.
Mfalme Caligula aliweza hata kumbaka dada yake wa kuzaliwa baba mmoja na mama mmoja kwa ashiki ya ngono iliyovuka mipaka.
 
Napenda niwaulize wadau ivi Corona ni kaugonjwa KADOGO Kama mafua ya kawaida,au maombi tulio muomba Mungu wetu kayapokea, au muda haujafika? Wa sisi kuanza kufa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ili kukabiliana na COVID19 ingefaa pawepo mobile testing centers kwenye Masoko/Shopping Malls, Stendi za mabasi na Nyumba za Ibada ili watu wengi wajue afya zao ndani ya muda mfupi.
 
Additional testing should be directed to Frontline/health workers. Vinginevyo tutapoteza wengi.
 
Kwani raisi anataka hizi habari corona ni mafua ambayo yapo advance sisi tuchape kazi.
Raisi arudi nyuma alipo jikwaa aanza jenga upya nchini sahivi janga likiipata Tz watu ndo wanashangilia
 
Back
Top Bottom