Huyo jamaa ameleta ujumbe mzito sana kuliko unavyoweza kumuelewa.kipindi unawaza haya ulikuwa wapi mkuu, usije ukaniambia ulikuwa sehemu tofauti na chooni..nitashangaa mno.
Sent using Jamii Forums mobile app
"Hatuwezi kutatua matatizo yetu kwakujidanganya kuwa hayapo." JK NyerereNimekaa nikatafakari kwa kina sana, nikagundua kwamba, dawa ya ugonjwa kama Corona inaweza ikawa ni kutouzungumzia kabisa, utashangaa ugonjwa unayeyuka wenyewe na hata wagonjwa wanapotea kabisa, hii phenomena bado naifanyia utafiti, nitatolea andiko la kina sana.
Ushahidi dhahiri kuwa nyuma ya kirusi cha korona, kama kimetengenezwa katika maabara au la, ni fursa wa kuanzisha vita ya kiuchumi. Mataifa yenye viongozi dhaifu ya maono (vision) yatarudi nyuma sana kimaendeleoHili jeee
View attachment 1451887
Nimekaa nikatafakari kwa kina sana, nikagundua kwamba, dawa ya ugonjwa kama Corona inaweza ikawa ni kutouzungumzia kabisa, utashangaa ugonjwa unayeyuka wenyewe na hata wagonjwa wanapotea kabisa, hii phenomena bado naifanyia utafiti, nitatolea andiko la kina sana.
Waziri kasema ni ya majaribio. Kama ingekuwa ni for us. Wangesha sambaza siku nyingi.Tume-import toka Madagascar......
Hukumuona Kabudi akibugia kikombe?
Nilijua tu lazima umtaje basha wako wa zamaniNaibu Rais Daud Bashite wameachia watu waache kunawa mikono wakae vijiweni vibarazani makanisani misikitini misibani waambukizane kwa wingi wafe kwa wingi ili wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu
Hahaaa, hataree sana, ugonjwa unafunga mechi za mpira zisichezwe, shule na mavyuo kufungwa, maduka na Bar, kukaa ndani, viungo vya nje kuwa sehemu za siri nk... Dah viumbe siie wadhaifu sana. Ugonjwa usioua bodabodaππππNasubiri kuona km hadi December kila Nchi zitakuwa zinatangaza maambukizi mapya
Hahaaa, hataree sana, ugonjwa unafunga mechi za mpira zisichezwe, shule na mavyuo kufungwa, maduka na Bar, kukaa ndani, viungo vya nje kuwa sehemu za siri nk... Dah viumbe siie wadhaifu sana. Ugonjwa usioua bodabodaππππ
Hadi rais mwanzo alisema ni kaugonjwa tu ila sijui nae alisikiliza mabeberu ghafla akabadili gia na kusema huu ugonjwa ni hatari wakutuokoa ni Mungu pekee kwahiyo tusali na tupige....Corona ni mafua tu Sema kuna watu walijazwa uwoga na media za Mabeberu
Tungekuwa tunapata takwimu sahihi hapa Tz tungejua kwamba corona ni hatari au la. Serikali inafanya makosa makubwa kutotoa takwimu sahihi.Wakuu habari
Mimi binafsi nimekuwa nikitafakali kuhusu hili janga la corona linalotesa dunia kwa sasa, japo naona WHO wanaona kabisa sio ugonjwa wa kuisha, tutaendelea kuishi nao.
Nikiangalia hali ya mtaani, na mitandaoni kuhusu huu ugonjwa wa corona nabaki mdomo wazi, sijajua kwanini
Kwanza kabisa huu ugonjwa haueleweki, wataalamu wanaongezea na kusema virusi vinajibadili.
Mtu anaweza kuwa na ugonjwa na asioneshe dalili (hili ni tatizo kubwa), tena anadunda kama kawaida, anafanya kazi zake, hakohoi, joto halipandi, kifua hakibani, hakuna dalili yeyote, sasa huyo anakuwa mgonjwa au ni fix!
Mtu anaweza ugua na kupona mwenyewe (sasa hapa mtu anapata wapi morali ya kwende kupima)
Ugonjwa unamiezi zaidi ya miezi 9, ila hata huko ulipoanzia hawauelewi .
Sasa hiki ni kitu gani.
Inafika hatua watu wanaanza kuchukulia poa.
Uzi tayari
Sent using Jamii Forums mobile app
Lugha gani hii umetumia, ni kiswahili?Sisi kama Kenya tumuamrisha Mpaka wa Tz ufungwe juu hatutaki kutangamana na wajinga watuletee maradhi. .. atangaye sana na mjinga ujingaa. Kaa kwenu
Mno, maana Corona inatawala zaidi kichwaniKwahiyo na ule uzi wako wa update za corona umechangia sana kueneza corona Tanzania
Jitahidi mkuu, pleaseNaibu waziri wa ameondoka tutaachaje kuzungumzia hilo siku ya leo?
HahahaMangeKimambi njoo huku