#COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19
Unaweza kusema ni sigara kubwa sawa
Lakini tambua corona sio busha
Useme utalificha
Tunajengaana Ofu tu bila sababu
Wagonjwa watafika mbaka mia alafu kutakuwa hakuna ripoti yeyote ya kifo na nyie bado mtaendelea kutishana humu kama mazombi..
Hii ni sigara kubwa imefanya kazi yake.sawa mkuu tumekupata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mlango 23
1 BWANA ndiye mchungaji wangu, Sitapungukiwa na kitu.
2 Katika malisho ya majani mabichi hunilaza, Kando ya maji ya utulivu huniongoza.
3 Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.
4 Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji.
5 Waandaa meza mbele yangu,Machoni pa watesi wangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu,Na kikombe changu kinafurika.
6 Hakika wema na fadhili zitanifuataSiku zote za maisha yangu; Nami nitakaa nyumbani mwa BWANA milele.
 
Wakuu kufuatia hatua zilizochukuliwa na serikali yetu kupambana na covid 19 hakika kama ingekuwa ni janga basi Watanzania tungekwisha tupukutike!

Shughuli zingine zote zinaendelea, shule na vyuo tu ndio vimesimama, sioni ulazima wa vyuo na shule kufungwa kwa kuepuka corona kama janga kwa nchi yetu.

Corona ipo kwaajili ya wazungu huko Ulaya, ni zamu yao sasa wacha iwanyooshe. Huku Africa tunapambana na majanga yetu ya maralia, njaa, ebola na mengine mengi. Wazungu wanataka kulazimisha janga lao liwe la dunia nzima. Haiwezekani.

PM Majaliwa tunaomba usiongeze muda wa kufunga shule na vyuo, watoto warudi kusoma kuanzia tarehe 17 Aprili.
Shule na vyuo vifunguliwe hali itakapotengamaa
 
QUOTE="kandamatope, post: 34925518, member: 489391"]
Unaweza kusema ni sigara kubwa sawa
Lakini tambua corona sio busha
Useme utalificha
Tunajengaana Ofu tu bila sababu
Wagonjwa watafika mbaka mia alafu kutakuwa hakuna ripoti yeyote ya kifo na nyie bado mtaendelea kutishana humu kama mazombi..


Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
Waafrika siku zote husubiri mpaka janga kubwa litokee ndio wanachukua hatua. Wewe na hao viongozi wako mnafanana sana.
 
Mpumbavu mama yako
Hii ni JF unaruhusiwa kutumia lugha Kali ila sio kutusi wazazi wa MTU
Tu najua ninyi ni wasukuma mliochoka kuchunga kipindi hiki mnataka mrudi chuo mkarelax but sisi wazazi tunaojali wanetu tu najua bado risk mtoto kwenda chuo kwa hali iliyopo saivi

Najua hujui ila mtaka radhi my sweet mam kwa kumuita mpumbavu ilihali alishaacha upumbavu na anamiliki PhD yake
 
Wakuu kufuatia hatua zilizochukuliwa na serikali yetu kupambana na covid 19 hakika kama ingekuwa ni janga basi Watanzania tungekwisha tupukutike!

Shughuli zingine zote zinaendelea, shule na vyuo tu ndio vimesimama, sioni ulazima wa vyuo na shule kufungwa kwa kuepuka corona kama janga kwa nchi yetu.

Corona ipo kwaajili ya wazungu huko Ulaya, ni zamu yao sasa wacha iwanyooshe. Huku Africa tunapambana na majanga yetu ya maralia, njaa, ebola na mengine mengi. Wazungu wanataka kulazimisha janga lao liwe la dunia nzima. Haiwezekani.

PM Majaliwa tunaomba usiongeze muda wa kufunga shule na vyuo, watoto warudi kusoma kuanzia tarehe 17 Aprili.
Don't be silly
 
Huu ushauri ni wa kuupuuza. Nitoe sababu chache.

Kwanza, access ya hizo tehama kwa wahusika ni za mashaka. Huwezi kufundishia tehama huku hujawaandaa wanafunzi kufundishwa kwa tehama. Kwa mfano hakukuwa na maelekezo kuwa kutakuwepo kusoma kwa tehama. Kama unataka wanafunzi wapewe notes akajisomee nyumbani hii inawezekana. Lakini kwa mazingira ya sasa hata ukiwatumia hizo slides ni kazi bure tu. Mtawafelisha bure watoto wa maskini.

Pili, mazingira ya mtanzania siyo ya kusomea kwenye mtandao. Mitandao ya simu ukianza kwenda pembeni hata mji hujaumaliza tayari network hakuna. Hapo hakutakuwa na kusoma. Yatageuka kuwa mateso.

Tatu, nyumbani kwa watanzania wengi kumejaa umaskini kuanzia wa kipato mpaka wa k
 
Tatizo La Mtandao Kutoshika Ni Kubwa Sana Sehemu Nyingi Hapa Tz Tena Hasa Kwa Smartphone Ndio Kabisa. Pia Pamoja Na Kuwa Na Jina Kubwa La Mwana Chuo Kikuu Si Wote Ni Wajuzi Katika Matumizi Ya Mtandao. Hivyo Hoja Yako Kukubalika Na Kukataliwa Yaweza Kuwa 50/50

Waulize kama hii website hawaijui xporn.com
 
Wakuu kufuatia hatua zilizochukuliwa na serikali yetu kupambana na covid 19 hakika kama ingekuwa ni janga basi Watanzania tungekwisha tupukutike!

Shughuli zingine zote zinaendelea, shule na vyuo tu ndio vimesimama, sioni ulazima wa vyuo na shule kufungwa kwa kuepuka corona kama janga kwa nchi yetu.

Corona ipo kwaajili ya wazungu huko Ulaya, ni zamu yao sasa wacha iwanyooshe. Huku Africa tunapambana na majanga yetu ya maralia, njaa, ebola na mengine mengi. Wazungu wanataka kulazimisha janga lao liwe la dunia nzima. Haiwezekani.

PM Majaliwa tunaomba usiongeze muda wa kufunga shule na vyuo, watoto warudi kusoma kuanzia tarehe 17 Aprili.
Tungoje Winter la hapa TZ na EA kwa ujumla lipite ndio tuyajua km tunaendelea kulala au kukesha
 
Kuhusu suala la elimu hapa ndo taifa linaenda kuwa marehemu mungu tu aingilie kati. Mtoto wa darasa la kwanza ambaye walau alishaanza kujua kusoma ndo basi. Mwanafunzi wa darasa la mitihani ile mudi ya kusoma inayeyuka taratibu, eneo la elimu ni eneo nyeti sana. Hakika taifa linaangamia, naamini katika hili hata viongozi wetu wameelemewa. Tuwaombee tu maaana kuwa kiongozi sio rahisi.
 
Upo sahihi... Nawahurumia sana wakenya na waganda wanaofungiwa majumbani

Sent using Jamii Forums mobile app
Museven anawashauri watu wake Mazoezi wafanyie majumbani mwao, haina haja kwa wale wanaopenda Mazoezi kwenda kufanyia Mazoezi nje.

Kuonesha kuwa na yeye ni miongoni mwa wanaofanya Mazoezi nyumbani, imebidi aoneshe Mazoezi yake.

Hizo pushapu alizokuwa akipiga Museven!

Badala ya kunyanyua na kushusha kifua, yeye alikuwa ananyanyua na kushusha tumbo
 
Back
Top Bottom