Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Tiba ya yule jamaa wa Rukwa ni ya kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hao nawaita malofa kusubiri waone maiti zimezagaa mitaani, au yeye ameambukizwa, ndio azingatie kanuni za afya. Wakumbuke tu kwamba, ardhi haihachoka kupokea wafu, na wao wataongeza namba ya wafu.Naamini hii ni kwasababu serikali haiweki wazi balaa la corona nchini, siku ya nne sasa hawaja tangaza update zozote juu ya ugonjwa huu.
Kuna mtu alidondoka na kupoteza maisha jana Kariakoo, cha ajabu mpaka leo maiti ilikua imesuswa. Si polisi wala nani aliehangaika kuiokota.
Watu hawachukulii serious.
Umeandika kama wewe una kinga dhidi ya huu ugonjwa! Huu ni ugonjwa wetu sote ila inatakiwa serikali ichukue hatua madhibuti kukabiliana nao.Ndio hao nawaita malofa kusubiri waone maiti zimezagaa mitaani, au yeye ameambukizwa, ndio azingatie kanuni za afya. Wakumbuke tu kwamba, ardhi haihachoka kupokea wafu, na wao wataongeza namba ya wafu.
Acha kutisha watu. Zaidi ya 80% ya watu wanao pata maambukizi ya corona hawaumwi wala hata kuonyesha dalili yote. Watu ambao afya zao zina mgogoro ndo wanaumwa hadi kufikia kulazwa na wakati mwingine kufariki. Hii ni kama 2% tu ya watuPunguza Bp ...mkuu Hii Corona inaweza kukupata. Hata kama afya yako ni Imara na ukafa vilevile.
Acha kutisha watu. Zaidi ya 80% ya watu wanao pata maambukizi ya corona hawaumwi wala hata kuonyesha dalili yote. Watu ambao afya zao zina mgogoro ndo wanaumwa hadi kufikia kulazwa na wakati mwingine kufariki. Hii ni kama 2% tu ya watu
Acha kutisha watu. Zaidi ya 80% ya watu wanao pata maambukizi ya corona hawaumwi wala hata kuonyesha dalili yote. Watu ambao afya zao zina mgogoro ndo wanaumwa hadi kufikia kulazwa na wakati mwingine kufariki. Hii ni kama 2% tu ya watu
Acha kutisha watu. Zaidi ya 80% ya watu wanao pata maambukizi ya corona hawaumwi wala hata kuonyesha dalili yote. Watu ambao afya zao zina mgogoro ndo wanaumwa hadi kufikia kulazwa na wakati mwingine kufariki. Hii ni kama 2% tu ya watu
Endelea kujipa moyo
Hii imetokea sana, watoto wasiende popote kwani unaambiwa kama wana kinga Kali wanakuwa makeliana wakiumwa hawajui kama wanaumwa na hupona bila ya kujitambua waliumwa wakapona.
Sent using Jamii Forums mobile app