Direct kwenye mada...
Tunazidi kushuhudia Dunia kwa sasa iko na hali mbaya sana kutokana na virusi vya corona.
Maumivu ni makubwa sana tangu ugonjwa huu uanze kwa mara ya kwanza nchini china hadi kusambaa kwake kwa kasi mataifa mengine ya jiran na hatimae dunian kote.
Athar zimezid kuongezeka na inawezekana zikazidi kuongezeka zaidi endapo baadhi ya nchi zitashindwa kuchukua hatua madhubuti kuzuia usambaaji zaidi wa virusi hivi.
Kwa sasa dunia imetikisika,na kila nchi imeweka juhudi zake zote katika kupambana na ugonjwa huu..
Hapa ukichunguza utagundua Dunia inazungumza lugha mmoja pekee kwa sasa
Yaan lugha ya "Corona" au kwa covic-19.
Si ugaidi tena,si nuclear wala maralia,au ukimwi au Vita..
Yaan dunia yote inaongea juu ya corona!!
Je, ni nini kitatokea baada ya ugonjwa wa corona kuisha?
1.Kufanyika kwa uchunguzi na kufunguliwa kesi dhidi ya Taifa la china,na endapo ushahidi utaonyesha china inahusika,(licha ya kuwa ni kwel hadi sasa ushahid unaonyesha virus vya corona vilitengenezwa na china katika jimbo lake la wuhan),basi vikwazo vikali vya kimataifa vitaanzishwa na umoja wa mataifa kwa kushirikiana na mataifa makubwa dhidi ya China.
2.kutokana na kwamba,Dunia itakuwa imeanguka kiuchumi baada ya ugonjwa huu,basi dunia itaweka juhudi nyingi kunusuru uchumi wa dunia.
3.Asilimia kubwa ya watu watapoteza ajira,na mataifa maskini yatazidi kudidimia kiuchumi kwa kupoteza kiwango kikubwa cha mapato kutokana na ugonjwa huu.
Mengine nawaachia wadau muongezee
Nawasilisha