mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mna UJUAJI mwingi ndo tatizo..
Mbona hamshangai kuna MATAIFA Yana wagonjwa mpaka 1-2?.
Lakini Tanzania kuwa na wagonjwa 20 mnaona haiwezekani na mnaongopewa.kama una taarifa ya wagonjwa wengine idadi yao SI UITAJE?
Angalia hizo nchi Zina wagonjwa wachache kuliko Tanzania lakini bado mnaona Tanzania inadanganya.
ACHENI UJUAJI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hamshangai kuna MATAIFA Yana wagonjwa mpaka 1-2?.
Lakini Tanzania kuwa na wagonjwa 20 mnaona haiwezekani na mnaongopewa.kama una taarifa ya wagonjwa wengine idadi yao SI UITAJE?
Angalia hizo nchi Zina wagonjwa wachache kuliko Tanzania lakini bado mnaona Tanzania inadanganya.
ACHENI UJUAJI.
Sent using Jamii Forums mobile app