Mawazo yangu,
Kwa reference ya nchi kama Italy , ni wazi kua Corona sasa imefika peak, na idadi ya vifo na maambukizi yatazidi kushuka:
1- Wiki tatu za mwanzon za mwezi wa nne ndo zitashuhudia vifo vingi zaidi.
2- Idadi ya vifo kwa Afrika nzima haitafika 1500 mpaka huu ugonjwa unaisha kabisa, vifo vingi kwa Afrika vitatoka juu katika Jangwa la Sahara, huku vifo kwa nchi zilizo chini ya jagwa la Sahara havitazidi 500.
3- Bila shaka USA, Italy, UK, Spain, Ufaransa na Ubeligiji ndo nchi zitakazokua zimeathirika zaidi na tatizo. Ambapo USA Atakua na vifo vingi zaidi kuliko nchi yoyote.
4- Uchumi utakua sawa na kuimarika na maisha ya kawaida (kama ilivyokua kabla ya Corona) kwa dunia nzima kuanzia mwaka 2023 hasa kwa sekta ya utalii na biashara za kimataifa.