#COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19
Nipo Dar es Salaam, eneo la Karakata karibu na uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius K. Nyerere. Sakata la Corona linavyosemwa mitandaoni na kwenye media lipo tofauti sana na uhalisia wa maisha yetu huku. Mass media zinaongeza presha zaid kwa wananchi kuliko ilivyo kawaida ktk uhalisia, Corona inasemwa tu midomon na tunasikia sikia mambo mengi kuhusu corona kila siku lakin hata hivyo shughuli zinaendelea kama kawaida, na misikitin tunakusanyika. Waislamu tuna tabia ya kusalimiana kwa kushikana mikono au hata kukumbatiana, na wakat mwingine misikiti inajaa sana kias cha kubanana, hivyo hatukai mbali mbali na hili linaendelea kama kawaida wala hatuna khofu ya corona zaid ya kuchukua tahadhari ikiwa ni pamoja na kuomba dua kwa Mwenyezi Mungu. Ukitazama watu wanavyoishi huku ni kama corona haipo, maisha yanakwenda bila khofu. Watoto wanatoka pia kuhudhuria ibada na magengeni tunawatuma. Suala la biashara huhusisha zaid mabadilishano ya fedha mkono kwa mkono, hili linafanyika vizuri bila khofu yoyote na wala hakuna anayevaa hizo mask isipokuwa hunawa kwa.sabuni na maji safi tu. Ikiwa haya yanawezekana, tusemeje kuhusu shule ambazo ni mikusanyiko ile ile kama ilivyo ktk ibada, masokoni, magengeni, bungeni, kwenye PS watoto wanakocheza games n.k? Kuna mambo mengine yameshakadiriwa, alilopanga Mwenyezi Mungu likufikie hata uende wapi au ujifungie ndani miaka 10 na uwe unapatiwa huduma zote bure bado litakufika tu. Kikubwa watu wachukue tahadhari zisizoleta athari kubwa ya kuendesha maisha yao wakat huo huo wakimtegemea Mungu kama mlinzi wao. Corona si chochote mbele ya Mwenyezi Mungu. Maamuzi kama hayo wazungu wanajuta na wanakufa zaid ktk majumba yao. Jiulize Corona inafikaje ktk nyumba zao? Kila kitu na Qadar. Serikali isichukue maamuz ya kukopi kutoka kwa wazungu pasina kujua athari zake kubwa. Siku ikipitisha kauli et watu wakae ktk majumba yao na asitoke yeyote na kila shughuli ifungwe basi tutarajie vifo vingi zaid kutokea kuliko ilivyo sasa, najua wazi vifo hivyo itasingiziwa Corona pejee ndo imepelekea na si maamuzi yao mabovu.

Tuwe makini sana ndugu zangu, kila.mtu anazungumza lake pasina kuleta fikra sahihi mbele kuna nini au kutatokea nini.

Acheni kuwaabudu wazungu kwa fikra zao, kila kitu wakifanya au wakisema nyie mnashika tu yan hata hamfikirii, na media zinatia preaha zaid, huu ni msiba mkubwa sana. Afrika bado tunatawaliwa kifikra na si kiuchumi pekee kama wengi waonavyo.
 
Exactly what I was thinking tufanye inter regional lockdown. Tufunge communication between mikoa.hakuna kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine.
Jeshi lisimamie hili kama sisi wa dar kwakuwa tushafanya uzembe umeingia basi tukomae nao tu peke yetu tuokoe wengine.


Waziri asiombe watu kutotoka dar atoe amri watu wasitoke wala kuingia dar na amri isimamie na Jeshi LA wananchi ( JWTZ). Ili watu wawe scared hata kujaribu kupinga amri


Kama maswala ya chakula uwekwe utaratibu maalumu kwa kila atakae toka na kuingia ( watu wachache na wapimwe kabla na baada ya kuondoka).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi watu wanaotumia mbaka badala ya mpaka wananiudhi kweli kweli
 
Ugonjwa ulianza pole pole ukitokea jiji la Arusha kwa yule dada isabela
Ukafika zanzibar
hatimaye jiji la Dar

Mimi Naungana na mh Rais pamoja na mkuu wa mkoa wa dar

Tusitishane
Wagonjwa waliopimwa covid 19
Wamefikia 25 ripoti ya kifo ni mtu mmoja

Hofu ya corona inatoka wapi?

Leo tunaambiwa nchini Kenya wagonjwa wa covid 19 wamefikia 186, ripoti ya vifo ni mtu 1

Hofu inatoka wapi!?

Wengine wanalalamika Wizara iongeze vipimo vya kupima covid19
Ofu ya kelele hizo inatokana na nini?

Mbona mbaka sasa hatujasikia mripuko wa watanzania kufa kwa wingi kama italy au spain,,

Watanzania mbona tunapenda sana shobo. M, Mungu anawanyoosha wazungu kwa sababu DINI Awana na wala awana hofu ya Mungu,

Kwanini tunajitisha wenyewe kama wehu hivi. Tuendelee kuabudu mungu kwa nguvu zetu zote tuache kufuata mkumbo eti kwa sababu wazungu wanakufa kule kwa mamia,

Hivi dunia nzima inaamini watu wakinawa pombe sanitizer ndio salama ya kuepuka corona
Au wengine wanaamini sabuni na maji ndio kinga ya covid 19 kuliko kinga ya kumuamini Mungu mmoja kwa moyo wako wote bila kumshirikisha na chochote kile

Mm nawapa matumaini Watanzania corona sio tishio Tanzania japo tahadhari zichukuliwe lakini tusijengeane hofu kihivyo.

Kuweni na Aman moyoni mwenu.. Msiwe kama wazungu ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii dhana na mungu kuwaadhibu wazungu kwa kuwa hawana dini nashindwaga kuelewa ukizingatia kuwa kwa upande wa wakristo hao wazungu ndio wameleta hiyo dini.

Na wao wazungu wakise waafrika wanakufa kwa ukimwi sana kwa kuwa mungu anawaadhibu kwa uzinzi uasherati na umalaya watakuwa wamekosea ama?
 
We are too late broo kwa saivi hatuna chakufanya tusubiri kifo tuu

Tuendelee kusintizer mikono na mask huku tukijua kifo kiko around
 
Watakuambia Korona haijaletwa na serikali. Ni natural disasta.
 
Naunga mkono hoja.

Nina nyongeza katika hili.

1. Wakizuia kutoka na kuingia Dar, wajitahidi kuchukua vipimo nyumba kwa nyumba hapa Dar. Hii itasaidia kupata uhalisia wa maambukizi kwa Dar.

2. Kama wataalam wa afya wa kiraia hawatoshi basi waazime kutoka kwenye Majeshi yetu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama dawa ni kunawa na sabuni nasi nashauri pawe na mkakati wa kupiga maji ya povu mji mzima kila siku usiku watu wakirudi majumbani mwao ili kiwaua virus wa Korona wanabaki kwenye sehemu walizoshika waathirika.

Na wananchi wakitoka majumbaniwao asubuhi wanawe mikono na sabuni . Wakifika kwenye maeneo ya kazi zao pia wanawe.
Iwe ni kwa miji yote mpaka virusi visambaratike kabisa nchini.

Sent using Jamii Forums mobile app
We mjamaa wewe yaani simple hivyo kweli??? hiyo itakuwa sio COVID-19.
 
Movements za kipindi cha pasaka zitaisambaza corona mpaka vijijini, Dar iwe ya kwanza kupigwa lockdown
 
Kabla ugonjwa COVID-19 haujaingia Tanzania Nilipata wasaa wa kuishauri Serikali ya Tanzania kuchukua hatua za mapema za kuzuia Safari za kutoka na kuingia Tanzania ili kuliepusha Taifa dhidi ya virusi vya CORONA Ingawa kwa masikitiko makubwa Sana ushauri huu haukuzingatiwa,

Haimaye Tanzania ilidumbukia katika mshike mshike wa kukimbizana na ugonjwa huu ambao mpaka Sasa umekita mizizi nchini hasa katika jiji la Dar es Salaam.

Kama Serikali itanshindwa Tena kuchukua hatua za haraka za kudhibiti kusambaa kwa virusi hivi ndani na nje ya Dar Basi wiki chache zijazo tutashuhudia visa kutoka mikoa mbalimbali hapa nchini.

Ushauri wangu Tena kwa Serikali " Serikali isitishe safari za kutoka na kuingia katika jiji la Dar es Salaam Hadi hapo itakapojiridhisha kuwa maambukizi yamekwisha kabisa.

Kama Serikali haitafanya hivo basi ijiandae kupiga mchakamchaka wa kukimbizana na KORONA katika mikoa yote ya Tanzania.
Ni hayo tu wapendwa.
Ushauri wangu kwa serikali kabla ya korona kuingia nchini unaweza kuupata hapa chini.

Njia pekee ya kuzuia CORONA Tanzania Ni kuzuia watu kuingia na kutoka nchini - JamiiForums

CORONA: Kama Bunge letu lingekuwa na meno, ilikuwa Ni muda mwafaka wa kumtoa Rais madarakani -
Uko sahihi
 
Wakikusikia na kutekeleza mshukukuru Mungu.
Yule raisi wa jiji anaweza kuwakusanya tena RAIA wake stendi mojawapo na kuwaambia wapige Nazi.
Bora ukose mali, upate akili.
 
Kabla ugonjwa COVID-19 haujaingia Tanzania Nilipata wasaa wa kuishauri Serikali ya Tanzania kuchukua hatua za mapema za kuzuia Safari za kutoka na kuingia Tanzania ili kuliepusha Taifa dhidi ya virusi vya CORONA Ingawa kwa masikitiko makubwa Sana ushauri huu haukuzingatiwa,

Haimaye Tanzania ilidumbukia katika mshike mshike wa kukimbizana na ugonjwa huu ambao mpaka Sasa umekita mizizi nchini hasa katika jiji la Dar es Salaam.

Kama Serikali itanshindwa Tena kuchukua hatua za haraka za kudhibiti kusambaa kwa virusi hivi ndani na nje ya Dar Basi wiki chache zijazo tutashuhudia visa kutoka mikoa mbalimbali hapa nchini.

Ushauri wangu Tena kwa Serikali " Serikali isitishe safari za kutoka na kuingia katika jiji la Dar es Salaam Hadi hapo itakapojiridhisha kuwa maambukizi yamekwisha kabisa.

Kama Serikali haitafanya hivo basi ijiandae kupiga mchakamchaka wa kukimbizana na KORONA katika mikoa yote ya Tanzania.
Ni hayo tu wapendwa.
Ushauri wangu kwa serikali kabla ya korona kuingia nchini unaweza kuupata hapa chini.

Njia pekee ya kuzuia CORONA Tanzania Ni kuzuia watu kuingia na kutoka nchini - JamiiForums

CORONA: Kama Bunge letu lingekuwa na meno, ilikuwa Ni muda mwafaka wa kumtoa Rais madarakani - JamiiForums
UKO SAHIHI 100%
 
Kabla ugonjwa COVID-19 haujaingia Tanzania Nilipata wasaa wa kuishauri Serikali ya Tanzania kuchukua hatua za mapema za kuzuia Safari za kutoka na kuingia Tanzania ili kuliepusha Taifa dhidi ya virusi vya CORONA Ingawa kwa masikitiko makubwa Sana ushauri huu haukuzingatiwa,

Haimaye Tanzania ilidumbukia katika mshike mshike wa kukimbizana na ugonjwa huu ambao mpaka Sasa umekita mizizi nchini hasa katika jiji la Dar es Salaam.

Kama Serikali itanshindwa Tena kuchukua hatua za haraka za kudhibiti kusambaa kwa virusi hivi ndani na nje ya Dar Basi wiki chache zijazo tutashuhudia visa kutoka mikoa mbalimbali hapa nchini.

Ushauri wangu Tena kwa Serikali " Serikali isitishe safari za kutoka na kuingia katika jiji la Dar es Salaam Hadi hapo itakapojiridhisha kuwa maambukizi yamekwisha kabisa.

Kama Serikali haitafanya hivo basi ijiandae kupiga mchakamchaka wa kukimbizana na KORONA katika mikoa yote ya Tanzania.
Ni hayo tu wapendwa.
Ushauri wangu kwa serikali kabla ya korona kuingia nchini unaweza kuupata hapa chini.

Njia pekee ya kuzuia CORONA Tanzania Ni kuzuia watu kuingia na kutoka nchini - JamiiForums

CORONA: Kama Bunge letu lingekuwa na meno, ilikuwa Ni muda mwafaka wa kumtoa Rais madarakani - JamiiForums
Hawawezi kukusikiliza.
Wanataka sana pesa ya kutoka imf ya misaada ya covid19.
Kiufupi serikali ipo Kwenye mikono ya wapumbavu
 
Exactly what I was thinking tufanye inter regional lockdown. Tufunge communication between mikoa.hakuna kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine.
Jeshi lisimamie hili kama sisi wa dar kwakuwa tushafanya uzembe umeingia basi tukomae nao tu peke yetu tuokoe wengine.


Waziri asiombe watu kutotoka dar atoe amri watu wasitoke wala kuingia dar na amri isimamie na Jeshi LA wananchi ( JWTZ). Ili watu wawe scared hata kujaribu kupinga amri


Kama maswala ya chakula uwekwe utaratibu maalumu kwa kila atakae toka na kuingia ( watu wachache na wapimwe kabla na baada ya kuondoka).

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kiongozi wa Dar aletwe Mwanajeshi,.Dar iwe chini ya amri za kijeshi hadi Corona itakapoyeyuka
Huu uswahiba unatupeleka pabaya sana
kama taifa, vinginevyo tumekwisha Amen.
 
Tumesha chelewa....Corona ilikuwwpo Tanzania kabla ya December 2019,na imeshasambaa nchi nzima, sema tu vipimo ni vichache...vingekiwepo kila hospital ya wilaya/mkoa ungeshangazwa na Takwimu...!

Tuendelee kuchukua tahadhari tu.....na principle ya Natural Selection ifanye kazi, wakaufa atakufa,wa kupona atapona na wakubaki atabaki. Serikali yetu sio tu inauwezo mdogo wa kifedha, na hata akili hawana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni hivyo mbona sijawahi sikia vifo 600 kwa siku?
 
Hii serikali inaonekana imechoka kabisa anatangazwa vifo tu na wagonjwa,nyuso aa viongozi zinamashakamashaka as if they know how to do uwezo hawana,ni peas hamna au order ya boss imewafunga
 
Back
Top Bottom