Mpambe wa rais
Member
- Apr 8, 2020
- 13
- 3
Aaha! kuna takwimu zingine sijui zinatolewa wapi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo jua la kishindo unalosubiri Njombe, Makete huko pia litakuwepo???Huyo CORONA wenu kama atahimili kishindo cha jua la kuanzia mwezi Mei na kuendelea (yaani kiangazi) basi atakuwa mwanaume!
Aaha! kuna takwimu zingine sijui zinatolewa wapi!
1000+Umeona kuna namba sehemu yoyote
Waulize wakazi wa huko! Hao ndio wanatakiwa sasa hivi wadhibiti movement za watu wanaotoka kwenye mikoa yenye maambukizi ili wabaki salama!Hilo jua la kishindo unalosubiri Njombe, Makete huko pia litakuwepo???
Hao waliyokufa tunaambiwa walikuwa na maradhi mengine na sijasikia wakitangaza kwamba kuna wagonjwa wenye wenye hali mbaya wa corona,utasikia wagonjwa wanaendelea vizuri mara unasikia kifo cha corona.Lugha gani ya hovyo imetumika?
Tangu corona imeanza kusikika umewahi bahatika kumuona kwa macho mgonjwa wa corona aliyehoi bin taabani Tanzania?
Ungeweza tu kufungua shule yako.Wakuu kufuatia hatua zilizochukuliwa na serikali yetu kupambana na covid 19 hakika kama ingekuwa ni janga basi Watanzania tungekwisha tupukutike!
Shughuli zingine zote zinaendelea, shule na vyuo tu ndio vimesimama, sioni ulazima wa vyuo na shule kufungwa kwa kuepuka corona kama janga kwa nchi yetu.
Corona ipo kwaajili ya wazungu huko Ulaya, ni zamu yao sasa wacha iwanyooshe. Huku Africa tunapambana na majanga yetu ya maralia, njaa, ebola na mengine mengi. Wazungu wanataka kulazimisha janga lao liwe la dunia nzima. Haiwezekani.
PM Majaliwa tunaomba usiongeze muda wa kufunga shule na vyuo, watoto warudi kusoma kuanzia tarehe 17 Aprili.
Kwani ni lazima wawepo wagonjwa kwenye familia yake ndio ujue kuwa kuna ugonjwa TzFamilia yako wako wangapi wanaumwa hiyo corona?
Sure mzee Baba,hali ni tete...Mpendwa mteja, tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara na kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi ya #CORONAVIRUS
Endelea kuosha mikonoNawasalimuni watanzania wenzangu.
Bila kupoteza wakati niende moja kwa moja kwenye suala lililonifanya kufungua uzi huu.
Unajua tangu serikali itangaze kuwepo kwa mgonjwa wa kwanza wa COVID19 nchini, kumeibuka mambo mengi sana ya uongo na ukweli na mengine ya kiuchonganishi na ya kutishia amani.
Katika kipindi hiki, kila mtu amekua daktari na nabii. Utasikia mara teknolojia ya 5G ndio imeleta Corona, mara ilitabiriwa na manabii itatokea, mara marekani ametengeneza ili aitawale dunia. Mara ugonjwa umeundwa na wazungu ili wauze dawa.
Mbaya zaidi, nchini sasa kumeibuka mtindo mi nauita wa kipumbavu eti watu wawili wakifa kwa kuachana muda mfupi, na ikionekana walikuwa karibu, basi watu wanahitimisha ni corona. Huu ni ujinga wa hali ya SG, laiti kama Ruge na Kibonde wangekufa kipindi hiki, najua midomo michafu ingesema Clouds media imevamiwa na Corona.
Wanasiasa na viongozi wa dini, msichukulie janga hili kama fursa ya kujiimarisha kiuchumi na kisiasa. Waambieni watu wenu wajikinge. Msijifanye wasemaji wa mienendo ya ugonjwa huu, sio jukumu lenu.
Huu ni wakati wa kuwa bega kwa bega na serikali ili kukabiriana na janga hili.
Serikali tuiache ifanye majukumu yake, ushauri ni muhimu ila utolewe kwa nidhamu na bila unafiki wowote. Kumbuka serikali ni chombo kilichobeba watu mbalimbali, wasomi na wabobezi wa mambo mengi na wengi wanekuzidi mbali na hiyo degree au masters yako.
#TUCHUKUE TAHADHARI CORONA NI HALISI ILA TUTASHINDA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanatoa zinazoripotiwa na serikaliMmh wanatoa taarifa za hapa nchini zinazofanana naza ummy au zao zinaingia akilini na kukaa
Sijui unamaanisha niniSite not secure...
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wanatoa zinazoripotiwa na serikali