Tuhuma za uongo?Unauhakika alimpa nani? Tafadhali milango ipo wazi akidhibitisha hili hatua zinachukulowa mara moja.
Tuache kutoa tuhuma za uongo ambazo hazina taarifa
Huyu admin anazingua tu hapa ukweli anaujua sanaWezi saaana hawa, mpaka unajiuliza kwani wanacholipwa hakiwatoshi? Na bado wakikufungia watakuomba 20,000 mara sijui wataomba nini na niniii, kumbuka bado surveyor umpe 30,000 na takataka zingine. Njaa tupu, hawatosheki kabisa na wanachopata, kama hakina maslahi kwanini wasiache?
Je ulitoa ya huduma gani?Tunawasisitiza malipo yetu yote yanalipwa kwa control number na kila kiasi unacholipa unapatiwa risiti, Tafadhali usifanya malipo kienyeji kisha unalalamika, Kama ulilipa TANESCO njoo tujulishe tukuhudumieWezi saaana hawa, mpaka unajiuliza kwani wanacholipwa hakiwatoshi? Na bado wakikufungia watakuomba 20,000 mara sijui wataomba nini na niniii, kumbuka bado surveyor umpe 30,000 na takataka zingine. Njaa tupu, hawatosheki kabisa na wanachopata, kama hakina maslahi kwanini wasiache?
Bora aliwapa, si wana njaa!!!???? Mtu ukose umeme kisa laki moja?? Bora aliwapa wahuni hawa.Aaah haina haja maana Hela ya sister haitarudi na kifupi alishawekewa umeme within 3days baada ya kutoa hela.....na kazi ilifanyika Kwa speed ya 5G
Tunajiamini kuwa tunafanya kazi kwa weledi kama kweli umeombwa rushwa au una changamoto njoo PM nakuahidi kukutembea na kuhakiksha unapata haki yako vinginevyo unakuwa haujatutendea haki kulaumu bila ushirikianoTuhuma za uongo?
Nilikuwa nakuona mtu kumbe nawe ni takataka tu, usiamshe hasira zetu, tuna mengi ya moyoni ambayo tumehifadhi kwa rushwa zenu.
usifanye malipo bila kufata taratibu tafadhali, Ni kosa kisheriaBora aliwapa, si wana njaa!!!???? Mtu ukose umeme kisa laki moja?? Bora aliwapa wahuni hawa.
Taarifa moja ya uongo mliyozushiwa ndo inasafisha shirika lenu kuwa sio wezi na ni shirika la hovyo?Tunashukuru kwa maelezo mazuri, Tunaendelea kukumbushana kuwa tatizo halitatuliwi au kumalizwa kwa taarifa ambayo haijakamilika, sasa TANESCO tuna mifumo mizuri sana kila kinachofanyika kinaonekana hivyo unapotoa tuhuma onesha wilaya gani, Namba ya simu uliyotolea taarifa, tatizo na namba ya taarifa, Tunataka kukuhakikishia kuwa baadhi ya wateja wetu wamekuwa wakitoa taarifa za uongo (Samahani kuandika hivyo) ukifatilia anasema nilisikia au kuona ukifatilia anashindwa kutoa ushirikiano, Mfano search taarifa ya ajali ya mtoto Kyela ambayo wengi mliandika TANESCO vibaya tukafanya uchunguzi mpaka eneo husika hakuna taarifa mpaka serikali ya mtaa, hivyo tunawahi kuwa wazalendo kwa kuisaidia TANESCO kuwahudumia vema.
PM kufanya nini kwa mfano? Shirika hovyo saana hili, bora hata DAWASA.Unadhani ni mm tu niliyewahi kuonja joto la jiwe la shirika letu la Umma? Sina haja ya kuja PM maana hakuna asiyejua uozo wa shirika mkuu...
Zilongwa mbali, zitendwa mbalii... Kalagabahoo...Je ulitoa ya huduma gani?Tunawasisitiza malipo yetu yote yanalipwa kwa control number na kila kiasi unacholipa unapatiwa risiti, Tafadhali usifanya malipo kienyeji kisha unalalamika, Kama ulilipa TANESCO njoo tujulishe tukuhudumie
Ukimsikiliza jamaa hapa JF utafikiri TANESCO ni kama Qatar Airways vileee, kumbe ni ligenge tu la wahuni.Mngeutumia huo utaalamu Kwa weledi mngekuwa mbali sana
NINYI NI WEZI.usifanye malipo bila kufata taratibu tafadhali, Ni kosa kisheria
Tunashukuru sana, Tunaamini ukitulia utatumie taarifa za tuhuma husika naisis tutatoe ushirikaonoNINYI NI WEZI.
Ndugu yangu elewa kwamba TANESCO kuna shida na watu wengi tumeumizwa.Tunashukuru sana, Tunaamini ukitulia utatumie taarifa za tuhuma husika naisis tutatoe ushirikaono
Mimi nasimamia ujenzi sehemu nyingi ndani ya Dar.Ndugu yangu elewa kwamba TANESCO kuna shida na watu wengi tumeumizwa.
Nikuulize swali....
Mteja anapofungiwa Umeme waya zingine pale kwenye nguzo zinabanwa na Vishikizio/Vibanio vya chuma kushikanisha na waya wa meter ya mteja na ule wa Nguzo, je kwanin wateja wengine wanawekewa Hivyo vibanio na wengine hawawekewi vibanio hivyo. Yaaani waya zinazungushwa zungushwa tu imetoka hiyo na mvua ikinyesha zikapata carbon umeme unakata kata kwa mteja wakati yule aliyewekewa vibanio anakula goodtime? Tueleze inakuwaje halafu mimi nifunguke hapa hapa na ushahidi??
Nakubali, Ni kweli TANESCO makao makuu mpo serious na utowaji huduma. Tarehe 21 February Kuna changamoto ilitokea hapa Kilindi Tanga tukakaa siku 8 gizani, tukiwapigia TANESCO wilayani wanasema tutume Hela ya nauli ya fundi elfu 50! Juzi tarehe 29 saa mbili asubuhi nikapiga simu TANESCO makao makuu Dodoma nikaeleza Kila kitu, ilipofika saa Saba mchana mafundi wakaja kurekebisha. Big up TANESCO Headquarters. Lakini huku ngazi ya chini kunahitajika mabadiliko makubwa sanaTunajiamini kuwa tunafanya kazi kwa weledi kama kweli umeombwa rushwa au una changamoto njoo PM nakuahidi kukutembea na kuhakiksha unapata haki yako vinginevyo unakuwa haujatutendea haki kulaumu bila ushirikiano
Tunashukuru kwa pongezi je unaweza kutusaidia namba ya simu mliyopiga mkaambiwa mtoe hela? Tunaomba tufatulie tujue na kuchukua hatuaNakubali, Ni kweli TANESCO makao makuu mpo serious na utowaji huduma. Tarehe 21 February Kuna changamoto ilitokea hapa Kilindi Tanga tukakaa siku 8 gizani, tukiwapigia TANESCO wilayani wanasema tutume Hela ya nauli ya fundi elfu 50! Juzi tarehe 29 saa mbili asubuhi nikapiga simu TANESCO makao makuu Dodoma nikaeleza Kila kitu, ilipofika saa Saba mchana mafundi wakaja kurekebisha. Big up TANESCO Headquarters. Lakini huku ngazi ya chini kunahitajika mabadiliko makubwa sana
Tanesco hii ya january?TANESCO ya sasa sio ya zamani na ya kesho inaonesha dira ya mabadiliko makubwa sana kwenye utoaji wa huduma, tunakuhakikishia kuwa kwa huduma zetu zimeboreshwa sana na wateja wamekuwa wakionesha hilo.
Hebu twende kwa data au taarifa kamili ya wapi unapendekeza paboreshwe zaidi ili ufurahie huduma zetu
hivi ofisi ya raisi utumishi wa umma na utawala bora nae ni shirika?Huu ni mtazamo wangu kutokana na uzoefu wangu wa kupitia huduma mbali mbali katika mashirika hayo kwangu naona Hawa WATANO Wafuatao kwao mteja ni "boya" na Wala sio mfalme
5. TRA
4. Polisi
3. Maji
2. Nida
1. Tanesco
Kama umewahi kwenda ofisi hizo hapo juu utaona jinsi unavyopokelewa mpaka kuhudumiwa mpaka unajisemea moyoni..
'kungekuwa na mbadala ningeenda"
Anyway ni mtazamo tu..
Naomba kote mpinge ila sio hapo kwa Tanescoš¤£š¤£
Ni kweli wanapenda kuchangisha Hela ya mafuta/ nauli, wakati mafuta ni ya serikali na wanalipwa na serikali. Ila dawa Yao ni kuandaa ushahidi na kuwaripoti makao makuu DodomaMimi nasimamia ujenzi sehemu nyingi ndani ya Dar.
Wanapokuja kufunga mita, gar yao inabeba kazi nyingi na hao vibarua wao sijui vishoka wanaitwa. Dereva anaweza akawaacha vibarua point A, kisha wengine awaache point B, ni kama umbali wa mita mia mbili, yaani viwanja viwili vya mpira,na gari inafika kabisa.
Sasa cha ajabu unaombwa uchangie ela ya mafuta ili gari ifike kwako wakufungie umeme. Kuna mambo ya kipuuzi mno, yanakera haswa. Tukianza kuyaandika haya ni kuinua hasira zetu tu.