Inakera mno chief, mbaya zaidi wanakuja hapa majukwaani wanajifanya hawajui yanayoendelea.Ni kweli wanapenda kuchangisha Hela ya mafuta/ nauli, wakati mafuta ni ya serikali na wanalipwa na serikali. Ila dawa Yao ni kuandaa ushahidi na kuwaripoti makao makuu Dodoma
Shangaa na wewe mkuuTanesco hii ya january?
Mimi nasimamia ujenzi sehemu nyingi ndani ya Dar.
Wanapokuja kufunga mita, gar yao inabeba kazi nyingi na hao vibarua wao sijui vishoka wanaitwa. Dereva anaweza akawaacha vibarua point A, kisha wengine awaache point B, ni kama umbali wa mita mia mbili, yaani viwanja viwili vya mpira,na gari inafika kabisa.
Sasa cha ajabu unaombwa uchangie ela ya mafuta ili gari ifike kwako wakufungie umeme. Kuna mambo ya kipuuzi mno, yanakera haswa. Tukianza kuyaandika haya ni kuinua hasira zetu tu.
0718851650;Tunashukuru kwa pongezi je unaweza kutusaidia namba ya simu mliyopiga mkaambiwa mtoe hela? Tunaomba tufatulie tujue na kuchukua hatua
Tafadhali toa ushiirikiano kwa huduma bora unataka tuanzie wapi bila wewe kutoa taarifa?Inakera mno chief, mbaya zaidi wanakuja hapa majukwaani wanajifanya hawajui yanayoendelea.
Tumepokea taarifa tafadhali tupatie namba yako Pm0718851650;
na Kuna huyu anajiita MANAGER 0737739835.
🤣🤣🤣🤣TANESCO ya sasa sio ya zamani na ya kesho inaonesha dira ya mabadiliko makubwa sana kwenye utoaji wa huduma, tunakuhakikishia kuwa kwa huduma zetu zimeboreshwa sana na wateja wamekuwa wakionesha hilo.
Hebu twende kwa data au taarifa kamili ya wapi unapendekeza paboreshwe zaidi ili ufurahie huduma zetu
Sema wewe upo vizuri na sio tanesco. Tanesco inawafanyakazi wengi na sio wote wanafanya kazi zao ipasavyo na ndo hao tunakumbana nao kwenye huduma mbovu kila siku. TANESCO ingekuwa vizuri usingeona malalamiko hapa.Tunamaanisha TANESCO tupo vizuri na kama unachangamoto yeyote tafadhali ilete tusaidiane kuitatua, TANESCO ni yenu, ni mali ya uma mnawajibu wa msingi wa kuisaidia kuwahudumia vema kwa kutoa taarifa sahihi, ushauri nk
Msingiziwe ili iweje? Kwamba tunawaonea wivu?Unauhakika alimpa nani? Tafadhali milango ipo wazi akidhibitisha hili hatua zinachukulowa mara moja.
Tuache kutoa tuhuma za uongo ambazo hazina taarifa
Wale wanaowapokea wateja hawana lugha nzuri kwa mtejaTafadhali shauri ni nini kiboreshwe zaidi ufurahie huduma zetu
Tafadhali tujulishe ni Wilaya gani, Namba yako ya simu na ulijibiwa nini tufanyie kaziWale wanaowapokea wateja hawana lugha nzuri kwa mteja
Tafadhali weka taarifa hewani kwa huduma boraMsingiziwe ili iweje? Kwamba tunawaonea wivu?
Taarifa itatolewa kwenye uzi wenu. Huu uzi ni kwaajili ya kutaja mashirika yenye huduma mbovu na mmeibuka washindi jipongezeni.Tafadhali weka taarifa hewani kwa huduma bora
Je ni Arusha sehemu ganiTaarifa itatolewa kwenye uzi wenu. Huu uzi ni kwaajili ya kutaja mashirika yenye huduma mbovu na mmeibuka washindi jipongezeni.
Mmetukatia umeme bila taarifa huku arusha mnarudisha saa ngapi?
Tumepokea taarifa kwa ufatiliaji na hatua zaidi tafadhaliOldadai/ngulelo
Woi. Kama kawaida yenu mtarudisha saa 12 jioni..tumeshawazoea na kesho mtakataTumepokea taarifa kwa ufatiliaji na hatua zaidi tafadhali
😂Tafadhali shauri ni nini kiboreshwe zaidi ufurahie huduma zetu
Nunua Viwanja vyenye hati ndo utajua wengineHuu ni mtazamo wangu kutokana na uzoefu wangu wa kupitia huduma mbali mbali katika mashirika hayo kwangu naona Hawa WATANO Wafuatao kwao mteja ni "boya" na Wala sio mfalme
5. TRA
4. Polisi
3. Maji
2. Nida
1. Tanesco
Kama umewahi kwenda ofisi hizo hapo juu utaona jinsi unavyopokelewa mpaka kuhudumiwa mpaka unajisemea moyoni..
'kungekuwa na mbadala ningeenda"
Anyway ni mtazamo tu..
Naomba kote mpinge ila sio hapo kwa Tanesco🤣🤣