Mtazamo wangu kuhusu majini (mashetani/ mapepo). Uliza swali lolote nitakujibu



DR mambo jambo unataka kujifunza au unataka kubishana?
 
View attachment 3185806

DR mambo jambo unataka kujifunza au unataka kubishana?
Soma Kilichoandikwa Hapo ni Transportation na sio Gas exchange.. kwakuwa Google siku hizi ni AI unachokiandika ndicho inachokuletea..

Uzuri hata maelezo yake hapo yametaka kukuabisha ila Umeyakata Imeansika In The lungs oxygen moves to the alveoli 🤣🤣

Kuhusu Physiology Huwezi kunifundisha ninaijua na sio kuijua tu ninaiishi na Kuifanyia kazi huu ni mwaka wa 23 Nikiwa kama Daktari nachotaka Kujifunza Sio Physiology ambayo nimeisoma Kwa Miaka zaidi ya 30 ila ni physiology mpya ya Jini Kuwa Element au Molecules ndani ya damu..

Nimekuelimisha Vizuri kuwa Gas Exchange inatokea kwenye Alveoli na Wala sio kwnye RBC sijui hata kama Unajua RBC ni nini?

Haya ngoja Nikubaliane na wewe Huenda Nikajifunza Kitu kipya

Kwenye RBC ni sehemu gani Kunatokea Gas Exchange? Au ni site gani kwenye RBC kuna Gas exchange na Usiaahau kuwa RBC ni cells Pekee Kwenye Mwili wa Mwanadamu isiyo na Nucleus Sasa nasubiri Unipe Jibu sehemu Inapofanyikia Hiyo gas Exchange
 
Aiseee sawa Mzee wa facts Sasa mwanasanyansi wetu inabidi tukupe verified tick mapema sanaa
 
Dr mambo jambo

Mimi huwa nasoma kwa kuelewa na sio kukalili ndio maana nikisoma kitu ninaweza kuki apply kwa kufikiria na kutafakari

Nikakupa mfano wa soka mzize kafanyiwa sub kaingia musonda

Ktk RBC oxygen kafanyiwa sub kaingia carbon dioxide

Sasa nikisema oxygen kafanyiwa sub kaingia gas X badala ya carbondioxide hapo unakuwa hujaelewa nini mkuu?

Mbona oxygen anaweza kufanyiwa sub akaibgia carbonmonoxide ktk RBC endapo utalala na jiko la mkaa chumbani kwako ukafunga madirisha yote unajua kitakachotokea


Sasa hapo achilia mbali huo msamiati wa gas exchange tuseme nimekosea je ? Umeelewa nadharia iliyopo mezani ktk uzi huu?


Unajua kuwa ktk periodic table kuna magap yaliachwa ya element ambazo hazijagunduliwa?


Sasa mkuu assume upo mbali na ofisi yako upo huko kijijini nanjirinji umekuta kuna bwana mmoja anatibu wagonjwa ambao wametoka hospitali mbaki mbali wameshindwa kuoona ila yeye anawaponyesha kwa kuwafukiza na moshi na kuwapa tiba asilia wanapona

Wewe kama daktari utafanya nini?
 
Noma sana!
 
Mwenye picha moja ya Jini aitupiemo huku tuone na sisi
Ukinionyesha oicha ya carbondioxide na mimi nitakuonyesha picha ya jini nakuahidi mkuu

Ukishindwa kutuletea picha ya carbondioxide tueleze kwa nini umeshindwa
 
Mkuu Mimi naamini sana Tiba mbadala maana Hata Hippocrates baba wa Udaktari Hakutibua kutumia kemikali
Shida Inakuja Unapochanganya Ukweli na Uongo Kuthibitisha Hoja Zako
 
Ukinionyesha oicha ya carbondioxide na mimi nitakuonyesha picha ya jini nakuahidi mkuu

Ukishindwa kutuletea picha ya carbondioxide tueleze kwa nini umeshindwa
 

Attachments

  • Screenshot_20241226_222245_Chrome.jpg
    200.2 KB · Views: 5
Ukinionyesha oicha ya carbondioxide na mimi nitakuonyesha picha ya jini nakuahidi mkuu

Ukishindwa kutuletea picha ya carbondioxide tueleze kwa nini umeshindwa
Hizi ni picha za Baadhi ya Carbon..

Ambazo ni Graohite, Diamond na Fullerene..

Haya Nioneshe Picha ya Jini
 
Mimi ninalo lakutupiwa na aliyenitupia alinitupia mgongoni kwangu sasa nalitoaje pia nina jini mahaba vp linaweza kutoka kwa kulamba hiyo ndimu
 
Hizi ni picha za Baadhi ya Carbon..
View attachment 3185848
Ambazo ni Graohite, Diamond na Fullerene..

Haya Nioneshe Picha ya Jini
Mimi nimeqndika mnionyeshe picha ya carbondioxide wewe unanionyesha picha ya csrbon sijui ni makusudi au ni kutokuelewa ulichofundishwa darasani.


Wewe si ni daktari?

Mgonjwa mwenye malaria kali unayemhudumia akikuambia anawaona fisi ofisini kwako (hallucination) unadhani sababu inakuwa ni nini?


Kama jibu unalijua je nikisema mganga anayepiga ramli huwa ana hallucinate ni kweli au si kweli?
 
Beautiful Mind indeed.
 
Hapana ukisema majini ni gesi kama carbon monoxide si sawa,majini hayapo katika material existence ni spiritual being ,ni roho zinazoweza kuwa katika umbo lolote au zikavaa umbo lolote .
Moshi/hewa/gas tunaweza kuiona lakini haishikiki. It ain’t material no?
 
Moshi/hewa/gas tunaweza kuiona lakini haishikiki. It ain’t material no?
Sasa nikisema majini ni gesi ambayo haijagunduliwa tuiite gas X ntakuwa nakosea?

Yapo ila hayaonekani wala hayashikiki ila yanaweza kumfanya mtu aone vitu ambavyo havipo (hallucination) kwa kuvuruga physiology ya mwili



Je nitakuwa nakosea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…