Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enhee Hebu Niambie Kipi hicho Nipo tayari Kujifunza na Kipimo gani hicho cha Kufanya 😀Tukimtafuta mtu mwenye majini tukafanya blood analysis ktk angle zote kuna kitu lazima kita onekana
Wrong!
Kwanza hakuna Gaseous Exchange kwenye RBC..
Kinachotokea Kwenye RBC ni Transportation of Gas through HB (Haemoglobin)..
Sasa Nataka Nikupe Somo Lote Jinsi unavyovuta Hewa Mpaka Unavyotoa CO₂ nini hutokea kwenye damu mpaka kwenye mapafu Nifuatishe..
Mwili unapohitaji Oxygen kwa ajili ya Kutengeneza Energy..
Binadamu utavuta Oxygen kutumia Pua zake (Yake matundu au zinaitwa Nostril) au Unapovuta Kutumia Mdomo..
Pumzi hiyo (O₂),Hupita kwenye Koo la Hewa (Trachea) kwenda kwenye Brochi kwenda Kwenye Bronchioles kwenda Kwenye Alveoli..
Sasa Nikufundishe kitu Hapa kwenye Alveoli ndo Gas Exchange Hutokea..
Alveoli ni Sehemu ya Mapafu ambayo ina cappillaries kibao ambazo kupitia Hizo CO₂ hutoka kwenye Damu na Kuingia kwenye Alveoli na O₂ Hutoka kwenye Alveoli kuingia kwenye Damu..Sijui kama unanielewa?
tuendelee Sasa!
Oxygen ile iliyofika kwenye alveoli ina diffuses na Kupita kwenye kwenye kuta Nyembemba za alveoli (thin alveolar walls) na Kuingia kwenye Zile capillaries Zile zilizoizunguka Alveoli na huo ndo mwanzo wa Kuingia kwenye Damu..
sasa Unajua kwanini mwanzoni nilikukatalia Kuhusu Hiyo element yako au Element zingine Kuungana na Haemoglobin japo inawezekana ila Huwa ni Kwa Kiasi ambacho ni kama Haijatokea labda Hiyo Gas iwe na Sifa kama Za Oxygen..
Sasa kwanini Oxygen Inaweza Kupenya sasa Hapa ndo inaingia maswala ya Physics.. partial pressure ya O₂ ni kubwa kwenye alveoli kuliko kwenye deoxygenated blood iliyopo kwenye capillaries...Kwahyo Hii Pressure inajikuta Imeisukuma Oxygen kwenye Kwenye Capillary..
Oxygen Ikifika kwenye damu Inafanya zile process nilizokuelezea kwenye Post #46.. pamoja na Hb Inavyoisafirisha nilishakueleza
Sasa Ndani ya Cells ikiwemo Hiyo RBC
Nilielezea Kuwa oxygen hutumika kwenye mitochondria Kutengeneza energy (ATP) na kama Unakumbuka Nikakusahihisha na Kukupa Tofauti ya Respiration na Breathing..
Reaction Huwa Hivi..
Glucose + O₂ → CO₂ + H₂O + Energy (ATP)
Sasa CO₂ , hutoka nje ya Cells na kuingia kwenye Mishipa ya Damu
kwa sababu partial pressure ya CO₂ huwa inakuwa Kubwa kwenye tissues kuliko kwenye damu kwahyo inapushiwa ndani ya Damu kwahyo Vein zinaibeba Hiyo CO ₂.
Sasa Jinsi inavyosafirishwa ni Tofauti na O₂ nifuatishe utaelewa zaidi..
Sasa Unakumbuka Ile CO₂ tuliyoipata Kwenye Kutafuta energy oxyen ilipovunja Glucose?
Sasa Huwa Inareact na Maji yaliyopo kwemye RBC au yale yaliyopatikana baada ya Kubunjwa kwa glucose..
Yaani CO₂ itareact na H₂O in the Presence ya catalistic enzymes moja Inaitwa carbonic anhydrase:
Au kwa Reaction tungeandika hivi..
CO₂ + H₂O ↔ H₂CO₃ ↔ HCO₃⁻ + H⁺
Sasa umeona Products inakuja Nini?
Inakuja Bicarbonate ions (HCO₃⁻)
Na hii ndo njia ya Kwanza ya Kusafirisha kwa CO₂ na Ndo inachangia Asilimia kubwa ya Kaboni inayotolewa..
Njia ya Pili ndo direct binding Ya CO2 kwemye Hb na Njia ya Mwisho kusafirishwa kama Gases sasa Tuache kote huku..
Kwa Jinsi Process zilivyo Ikiingia Hewa Nyingine Tofauti na hizo lazima Kutokee Tatizo na Muda huo huo litaonyesha effects..
So Huwezi kufananisha Natural process kama Hiyo na Mganga anapovuta Udi..
Maana unakoelekea Utaniambia pia Kuwa hata Ukivuta Bangi Basi ile Bangi ni Jini Linamuungia Mtu au Ukivuta sigara pia ni Jini..
Vipi Kuhusu Bangi na Yenyewe Ni Majini au Pombe Vipi??
Sio sumu mkuuAsali na ndimu sio sumu?
Soma Kilichoandikwa Hapo ni Transportation na sio Gas exchange.. kwakuwa Google siku hizi ni AI unachokiandika ndicho inachokuletea..
Aiseee sawa Mzee wa facts Sasa mwanasanyansi wetu inabidi tukupe verified tick mapema sanaaMkuu
Unawajua wapiga dufu (ngoma zile za kiislam) ?
Dufu likipigwa kama una majini lazima upandishe yaani mtu anakua anacheza bila kujijua nadhani wengi mtanisaidia hapa mtakuwa mmewahi kushuhudia
Sasa ipo hivi gas X ambayo ipo ktk mzunguko wa damu inatabia ya kuvibrate
Pia sauti ya dufu ni vibration ya molecules zilizopo hewani ambazo zinatoa sound energy
Kuna kitu kinaitwa resonance yaani vitu viwili vyenye frequency tofauti vinaanza kuvibrate kwa frequency moja wataalam wa physics wanajua
Sasa dufu linapopigwa linavibrate kwa frequency yake kumbuka pia gas X inavibrate kwa frequency yake
Sasa ikitokea kukawa na mfanano ea frequency (resonance) mtu anaanza kucheza kabisa tena bila kujijua na mdundo ukisimama anatulia anaishiwa nguvu kabisa mpaka wamvukize ubani au akae ktk hewa safi
Sijui unanipata mkuu?
Dr mambo jamboSoma Kilichoandikwa Hapo ni Transportation na sio Gas exchange.. kwakuwa Google siku hizi ni AI unachokiandika ndicho inachokuletea..
Uzuri hata maelezo yake hapo yametaka kukuabisha ila Umeyakata Imeansika In The lungs oxygen moves to the alveoli 🤣🤣
Kuhusu Physiology Huwezi kunifundisha ninaijua na sio kuijua tu ninaiishi na Kuifanyia kazi huu ni mwaka wa 23 Nikiwa kama Daktari nachotaka Kujifunza Sio Physiology ambayo nimeisoma Kwa Miaka zaidi ya 30 ila ni physiology mpya ya Jini Kuwa Element au Molecules ndani ya damu..
Nimekuelimisha Vizuri kuwa Gas Exchange inatokea kwenye Alveoli na Wala sio kwnye RBC sijui hata kama Unajua RBC ni nini?
Haya ngoja Nikubaliane na wewe Huenda Nikajifunza Kitu kipya
Kwenye RBC ni sehemu gani Kunatokea Gas Exchange? Au ni site gani kwenye RBC kuna Gas exchange na Usiaahau kuwa RBC ni cells Pekee Kwenye Mwili wa Mwanadamu isiyo na Nucleus Sasa nasubiri Unipe Jibu sehemu Inapofanyikia Hiyo gas Exchange
Ni kwasababu akili yako inakuambia umemaliza kujifunza kila kituStory za kufikilika
Noma sana!Mkuu hii ni jamii forum tumo humu ila hatujuwani.
Kwa vile wewe unauelewa kuhusu sayansi naomba twende taratibu
Ipo hivi kulingana na observation zangu kwa wagonjwa wa mashetami ukiwauliza wanachodai ni kuhisi wanakabwa (suffocation) pia maumivu ya kichwa kifua, moyo kwenda mbio na kuhisi kuchanganyikiwa
Kisayansi mtu anayehisi kukabwa (asphyxia) maranyingi supply ya oxygen inakuwa ndogo kwenye mapafu na damu
Ataanza kuhema haraka ili avute oxygen ya kutosha, moyo utaongeza spidi ya kusukuma damu ili kufidia oxygen ktk maeneo mbali mbali ya mwili ikiwemo ubongo na vital organs zingine, supply ya oxygen ikiwa ndogo kwenye muscle za moyo mtu atahisi kifua kinabana, supply ya oxygen ikiwa ndogo kwenye ubongo mtu atapata halucination
Pia ataanza kupumua kwa anaerobic respiration anakuwa na nguvu nyingi kiasi kwamba inahitaji wanaume wenye afya kumkamata akiwa ktk hali ya kutapa tapa
Sasa akipewa dawa inayochomwa ktk moto ule moshi akiunusa kifua kinaachia fahamu zinamrudia na anatulia kabisa lakini anakua hana nguvu
Hii nimeishuhudia
Kumbuka mtu mwenye majini ki medical ni unknown disease
Sasa kulingana na scenario kama hii nikawaza huenda majini ni gesi inayofanana na carbonmonoxide maana carbonmonoxide nayo humfanya mtu akose supply ya oxygen kwa sababu carbonmonoxide huea ina combine na haemoglobin mazima
Sasa inawezekana hiyo gas X ikawa na sifa kama hizo na huo ndio ukawa mwanzo wa mimi kufikiria hivyo mkuu
Tafiti zinaanza na mawazo mapya mkuu
Sijui umenielewa?
Ukinionyesha oicha ya carbondioxide na mimi nitakuonyesha picha ya jini nakuahidi mkuuMwenye picha moja ya Jini aitupiemo huku tuone na sisi
Mkuu Mimi naamini sana Tiba mbadala maana Hata Hippocrates baba wa Udaktari Hakutibua kutumia kemikaliDr mambo jambo
Mimi huwa nasoma kwa kuelewa na sio kukalili ndio maana nikisoma kitu ninaweza kuki apply kwa kufikiria na kutafakari
Nikakupa mfano wa soka mzize kafanyiwa sub kaingia musonda
Ktk RBC oxygen kafanyiwa sub kaingia carbon dioxide
Sasa nikisema oxygen kafanyiwa sub kaingia gas X badala ya carbondioxide hapo unakuwa hujaelewa nini mkuu?
Mbona oxygen anaweza kufanyiwa sub akaibgia carbonmonoxide ktk RBC endapo utalala na jiko la mkaa chumbani kwako ukafunga madirisha yote unajua kitakachotokea
Sasa hapo achilia mbali huo msamiati wa gas exchange tuseme nimekosea je ? Umeelewa nadharia iliyopo mezani ktk uzi huu?
Unajua kuwa ktk periodic table kuna magap yaliachwa ya element ambazo hazijagunduliwa?
Sasa mkuu assume upo mbali na ofisi yako upo huko kijijini nanjirinji umekuta kuna bwana mmoja anatibu wagonjwa ambao wametoka hospitali mbaki mbali wameshindwa kuoona ila yeye anawaponyesha kwa kuwafukiza na moshi na kuwapa tiba asilia wanapona
Wewe kama daktari utafanya nini?
Ukinionyesha oicha ya carbondioxide na mimi nitakuonyesha picha ya jini nakuahidi mkuu
Ukishindwa kutuletea picha ya carbondioxide tueleze kwa nini umeshindwa
Hizi ni picha za Baadhi ya Carbon..Ukinionyesha oicha ya carbondioxide na mimi nitakuonyesha picha ya jini nakuahidi mkuu
Ukishindwa kutuletea picha ya carbondioxide tueleze kwa nini umeshindwa
Mimi ninalo lakutupiwa na aliyenitupia alinitupia mgongoni kwangu sasa nalitoaje pia nina jini mahaba vp linaweza kutoka kwa kulamba hiyo ndimuKama anayo ushauri ni kulamba ndimu au kutumia mchanganyiko wa juisi ya ndimu, asali na sukari guru
Kila siku anatumia kijiko kimoja asubuhi mchana na jioni mpaka pale atakapoona inafaa hiyo ni kama diet tu
Pia anaweza kupaka mafuta ya mzaitiuni mara moja moja
Mimi nimeqndika mnionyeshe picha ya carbondioxide wewe unanionyesha picha ya csrbon sijui ni makusudi au ni kutokuelewa ulichofundishwa darasani.Hizi ni picha za Baadhi ya Carbon..
View attachment 3185848
Ambazo ni Graohite, Diamond na Fullerene..
Haya Nioneshe Picha ya Jini
Ndio lakini inabidi utafute msaada nenda kwenye maduka ya kisuna yanakuwaga karibu na misikiti huko utapata dawa nzuri zipo nyingi tuMimi ninalo lakutupiwa na aliyenitupia alinitupia mgongoni kwangu sasa nalitoaje pia nina jini mahaba vp linaweza kutoka kwa kulamba hiyo ndimu
Beautiful Mind indeed.Mkuu hii ni jamii forum tumo humu ila hatujuwani.
Kwa vile wewe unauelewa kuhusu sayansi naomba twende taratibu
Ipo hivi kulingana na observation zangu kwa wagonjwa wa mashetami ukiwauliza wanachodai ni kuhisi wanakabwa (suffocation) pia maumivu ya kichwa kifua, moyo kwenda mbio na kuhisi kuchanganyikiwa
Kisayansi mtu anayehisi kukabwa (asphyxia) maranyingi supply ya oxygen inakuwa ndogo kwenye mapafu na damu
Ataanza kuhema haraka ili avute oxygen ya kutosha, moyo utaongeza spidi ya kusukuma damu ili kufidia oxygen ktk maeneo mbali mbali ya mwili ikiwemo ubongo na vital organs zingine, supply ya oxygen ikiwa ndogo kwenye muscle za moyo mtu atahisi kifua kinabana, supply ya oxygen ikiwa ndogo kwenye ubongo mtu atapata halucination
Pia ataanza kupumua kwa anaerobic respiration anakuwa na nguvu nyingi kiasi kwamba inahitaji wanaume wenye afya kumkamata akiwa ktk hali ya kutapa tapa
Sasa akipewa dawa inayochomwa ktk moto ule moshi akiunusa kifua kinaachia fahamu zinamrudia na anatulia kabisa lakini anakua hana nguvu
Hii nimeishuhudia
Kumbuka mtu mwenye majini ki medical ni unknown disease
Sasa kulingana na scenario kama hii nikawaza huenda majini ni gesi inayofanana na carbonmonoxide maana carbonmonoxide nayo humfanya mtu akose supply ya oxygen kwa sababu carbonmonoxide huea ina combine na haemoglobin mazima
Sasa inawezekana hiyo gas X ikawa na sifa kama hizo na huo ndio ukawa mwanzo wa mimi kufikiria hivyo mkuu
Tafiti zinaanza na mawazo mapya mkuu
Sijui umenielewa?
Moshi/hewa/gas tunaweza kuiona lakini haishikiki. It ain’t material no?Hapana ukisema majini ni gesi kama carbon monoxide si sawa,majini hayapo katika material existence ni spiritual being ,ni roho zinazoweza kuwa katika umbo lolote au zikavaa umbo lolote .
Sasa nikisema majini ni gesi ambayo haijagunduliwa tuiite gas X ntakuwa nakosea?Moshi/hewa/gas tunaweza kuiona lakini haishikiki. It ain’t material no?