Mtemi Ng'wanamalundi (Mwanamalundi) - Yesu wa Afrika?


Hapa yohana ameefikaje hapa au unadhani wanaojadili jambo hili hawajui habari hizo na kwamba unaamini wewe ndiyo wa kwanza kujua habari za Yesu Pole sana tafakari ujue uliko toka na ujiulize hivi ni kwa nini watakatifu wote ni wazungu tu?????????????? Akili ya kuambiwa changanya na ya kwako.
 

Usipotoshe watu kamwe yesu siyo mungu kwa mujibu wake yeye mwenyewe, na BIblia. Na hii hapa ni historia na suala la dini yako hapa halipo kabisa usiwazuie watu kujua yaliyofanyika ndani ya nchi yao kwa kisingizio cha dini kaa pembeni kama hujui kitu. Kwa nataka unijibu kama unajua kufikiri kwa kina kwa nini watakatifu wote ni wazungu, halafu kuna ukweli juu ya watakatifu hao? Pia kuna tofauti gani kati ya watakatifu wakizungu na mizimu ya kwetu? Naomba jibu haraka sana wewe na wenzako msiojua siri ya wazungu.
 
Hadithi za oral tradition haziaminiki kila mtu anakwambia lake
 
Jamani naomba kupata historia ya mtu mmoja aliyeitwa mwanamalunde,kwa wenyeji wa mwanza nadhan ndo watakua wanamkumbuka zaid
 
Huyu mtu ninachojua kumhusu ni kidogo sana

Ninachofahamu ni kuwa alikuwa ni binadamu mwenye uwezo wa ziada,alikuwa ana uwezo wa kurusha kitu juu na kisirudi chini

Alikuwa na uwezo wa kutembea umbali mrefu bila kuchoka

Ngoja nifanye utafiti nijue mengi zaidi

Hii hapa chini ni kati ya zinazosadikiwa kuwa picha yake




Inadaiwa alikuwa haachi uso wake wazi!
 
Baada ya kusoma hii thread, Nilitaka kumjua Mwanamalundi... na katika kupekua pekua katika google nikakumba na kitabu hiki..Nimeona tushare pamoja..

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA
 
Kweli bhana bora tumuabudu huyu Yesu wetu Ng'ana Malundi. Kuloko kuabudu huyo Yesu Mzungu pengine wala hatuji hasa kama nasisi pia tunamuabudu yeye.
 
Salaam wakuu,
Nimekua nikisikiasikia kuhusu huyu mtu aliyewahi kuvuma kanda ya ziwa anayeitwa mwanamalundi. Ningependa kufahamu mawili matatu kuhusu huyu bwana na maajabu yake aliyokua akiyafanya.
 
salaam wakuu,
nimekua nikisikiasikia kuhusu huyu mtu aliyewahi kuvuma kanda ya ziwa anayeitwa mwanamalundi. ningependa kufahamu mawili matatu kuhusu huyu bwana na maajabu yake aliyokua akiyafanya.
Alikuwa anakausha mti watu wapasue kuni. Ukimkwaza akisonya tu umekwisha😈
 
mwili wake ulizikwa pale ukiriguru unapita chuo kidogo afu unaenda kijiji kinaitwa nyamle wilayani misungwi kaburi lake mpka leo lina miti ilipandwa juu ya kaburi lake hua inakauka na kichupua kila bda ya dakika 30,afu alizikwa akiwa amekaa kwenye kigoda
 
Pale kijijin kwetu shy kuna sehemu wanasema alipita. kwahiyo kaacha alama za miguu na makalio kwwnye mawe ukienda unayakuta.
 
Alikuwa anamuachia Maziwa freshi mke wake akitaka kusafiri yakiganda atakuwa amekufa yasipoganda hajafa. Pia alifunga shoka ikaning'inia juu ya dari mpaka chini akianza kusafiri kamba inaanza kuvuta shoka inaanza kupanda juu akifika mwisho wa safari na shoka itakuwa imegusa juu, akianza kurudi na shoka inaanza kushuka taratibu akifika nyumban shoka nayo inafika chini. Pia alikuwa anapanda viazi na kuiva kwa siku moja. Ni mengi ila naishia hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…