BULOLE BUKOMBE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 488
- 109
Tatizo unadhani ujio wa Bwana Yesu duniani ulikuwa kufanya miujiza tu.
1 Yohana 4:10 Hili ndilo pendo, si kwamba sisi tulimpenda Mungu, bali kwamba yeye alitupenda sisi, akamtuma Mwanawe kuwa kipatanisho kwa dhambi zetu.
1 Yohana 2:2 naye ndiye kipatanisho kwa dhambi zetu; wala si kwa dhambi zetu tu, bali na kwa dhambi za ulimwengu wote.
Nimekumegea kidogo tu hapo.Ila fahamu Tito 2:11-14 "Maana neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa;
12 nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia; tupate kuishi kwa kiasi, na haki, na utauwa, katika ulimwengu huu wa sasa; tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi yote, na kujisafishia watu wawe milki yake mwenyewe, wale walio na juhudi katika matendo mema."
Hapa yohana ameefikaje hapa au unadhani wanaojadili jambo hili hawajui habari hizo na kwamba unaamini wewe ndiyo wa kwanza kujua habari za Yesu Pole sana tafakari ujue uliko toka na ujiulize hivi ni kwa nini watakatifu wote ni wazungu tu?????????????? Akili ya kuambiwa changanya na ya kwako.