Mtendaji Mkuu wa TANROADS: Tanzania inashika nafasi ya 9 kwa miundombinu ya barabara na madaraja kati ya nchi 54 za Afrika

Aiseeeeee wewe na Lucas kazi zenu ngumu sana.......South Africa hii ya Madiba barabara ya lami hadi kwenye mlango ndiyo tumeipiku???
 
Hii South Africa inayoshindanishwa hapa ni South Africa hii hii Azania ama kuna South Africa ipo Manzese mtaa wa Nzasa?
 
Mnapata faida gani kuongea vitu vya uongo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…