Kabisa mkuu, tulishamsindikiza jamaa kuzika babake kijijini mkoa fulani, tulipata taabu sana, tulilala wenye coaster, nje baridi mpaka wenye mifupa, guest ya karibu hakuna, maduka ya mahitaji shida, msalani ndiyo ilikuwa kuchimba dawa, literally! Tanzania ni kubwa jamani, kuna maeneo watu wakiondoka hawarudi na sababu ni valid.
Safari ya kurudi, tulipaki njiani somewhere guest, tukawalipa kutuchemshia maji tuoge, turudi mjini tumeondoa harufu ya kijijini.
Hapana kwakweli!
Everyday is Saturday............................... 😎