Mtoto aliyejeruhiwa na ndugu zake 6 kuuawa kikatili Mkoani Kigoma naye afariki

naongra
Ndege zetu zinazoenda Kigoma (Bombardier) hazina stretcher, haziwezi kubeba mgonjwa asiyeweza kukaa na au anayehitaji uangalizi maalumu, labda wangekodi ndege binafsi which is way ezpensive
unaongea kama upo Baa unakunywa wanzuki!
kwa hiyo kubebwa na gari inayoruka ruka spidi 160 siku 2 njiani ni sawa ee! si ndio maana wamemuua pumbafu na wewe
 
Mtu yuko Kigoma anasafirishwa kwa gari kuja Dar? Kwani gharama za mafuta ya gari kwenda na kurudi na wahudumu wote si zingefidiwa na tiketi ya ndege
Mkuu nimewaza exactly kama wewe. Watakuwa wamemuua wao,MTU yuko ICU unamsafirisha kwa gari na Barbara zetu hizi. Viongozi wetu hawa akili hazimo kabisa. Kutwa kucha wako kwenye kampeni za pedi kwa mtoto wa kike huku suala kama hili LA kuokoa maisha wanafanya masihara.
 
ILISHINDIKANA TIKETI KWELI YA KIGOMA KUJA DAR SERIKALI YA MKOA SIO WATU
 
Wako radhi wazuie hedhi kwa wasichana sio kuzuia kifo. Hahaha.....shamba LA wanyama.
 
Hawa Viongozi Sijui Vp, Ndege Zinakwenda Kigoma Kila Siku Walishindwa Nini?
Mtu yuko Kigoma anasafirishwa kwa gari kuja Dar? Kwani gharama za mafuta ya gari kwenda na kurudi na wahudumu wote si zingefidiwa na tiketi ya ndege

 
Wako radhi wazuie hedhi kwa wasichana sio kuzuia kifo. Hahaha.....shamba LA wanyama.
Labda hajatangaza kuomba msaada kwa wasamaria wema
Si unajua mambo mengine lazima uhojiwa na millard,lazima wangetokea wachangiaji wangesaidia kisifa
Mwisho wa siku mtoto angekodishiwa hata chopa

Ova
 
So sad kwa nn binadamu tunakuwa na roho za kikatili hivi?
 
Ndege zetu zinazoenda Kigoma (Bombardier) hazina stretcher, haziwezi kubeba mgonjwa asiyeweza kukaa na au anayehitaji uangalizi maalumu, labda wangekodi ndege binafsi which is way more expensive.
Wangechukua siti tatu za pamoja na mtoto alazwe hapo.
Kama mabasi yanabeba wagonjwa mahututi kwa nini ndege ishindwe?
 
naongra
Ndege zetu zinazoenda Kigoma (Bombardier) hazina stretcher, haziwezi kubeba mgonjwa asiyeweza kukaa na au anayehitaji uangalizi maalumu, labda wangekodi ndege binafsi which is way ezpensive
unaongea kama upo Baa unakunywa wanzuki!
kwa hiyo kubebwa na gari inayoruka ruka spidi 160 siku 2 njiani ni sawa ee! si ndio maana wamemuua pumbafu na wewe pia
 
Mtu yuko Kigoma anasafirishwa kwa gari kuja Dar? Kwani gharama za mafuta ya gari kwenda na kurudi na wahudumu wote si zingefidiwa na tiketi ya ndege
Posho
Hawakujali uhai wa mtoto
 
Ndege zetu zinazoenda Kigoma (Bombardier) hazina stretcher, haziwezi kubeba mgonjwa asiyeweza kukaa na au anayehitaji uangalizi maalumu, labda wangekodi ndege binafsi which is way more expensive.
Expensive kuliko maisha ya mtoto.mdogo kama huyo ambaye future iko gizani
 
Kigoma to dar kwa gari, mgonjwa yuko mahtuti.

Hivi kweli mbona hali imekuwa hivi, kigoma hakuna ndege ?
 
Kwanini wasinge mpeleka Benjamin mkapa Dodoma then specialist kutoka Muhimbili wangemkuta hapo maana kama vifaa vipo
 
Ukute kuna Mbunge huko , wala hakutoa neno kusaidia huyo mtoto aweze kusafiri kwa Ndege.

Kulingana na hali yake ilivyokuwa kutumia usafiri wa gari haikuwa busara.

Poleni sana wafiwa , wauaji wasakwe ili wafikishwe mbele ya sheria.
 
Mtu yuko Kigoma anasafirishwa kwa gari kuja Dar? Kwani gharama za mafuta ya gari kwenda na kurudi na wahudumu wote si zingefidiwa na tiketi ya ndege
Hii sekta ya afya inahitaji maboresho makubwa na uwekezaji mkubwa ili huduma muhimu zipatikane huku huku mikoani kuliko kutegemea sehemu moja pekee.
 
naongra

unaongea kama upo Baa unakunywa wanzuki!
kwa hiyo kubebwa na gari inayoruka ruka spidi 160 siku 2 njiani ni sawa ee! si ndio maana wamemuua pumbafu na wewe
Tunaongea facts, unaleta hisia. Pole.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…