Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So sad!
NdioDuu hata shule?
Nikiwa km mmoja wa wanachama waliowahi kula Zero CHAZITA ninakemea mauaji ya hao watuSamia atoe hata tamko kukemea haya mambo kuliko kukaa kimnya. Huo uchunguzi aliomba ufanyike haraka mpaka leo hakuna mshukiwa hata mmoja tumesikia amekatwa na tukio lilifanyika wazi tena kwenye capital city
Wamesha anza kuteka kwa sababu ya kudai pesa sasa watazifikia familia za viongozi.Watawafikia huko we ngoja
Ova
Itakuwa hatari sanaKutekana itakuwa vyanzo vya watu kupata kipato
Wahalifu wataona ahh kumbe kutekana inawezekana,ngoja tumteke mtoto wa fulani au wa familia fulani alafu tudai hela
Ova
Wengine labda ni wahalifu kweli wanatumia mkanganyiko na ombwe lililopo wakijua lawama zitaelekezwa kwingine.Sasa kama polisi ndio wanateka watu na kudai ‘Ransom money’ na kuua, inabidi kila raia awe mlinzi wa mwenzake, kila mtu akae na sime ndani kwake, polisi akija kukukamata bila mwenyekiti wa serikali ya mtaa, anapaswa kuchinjwa kama kuku! Yaani tunapambana na polisi na majambazi kwa pamoja..
Na ni kanene kweli kama kitoto cha kiboko au temboKile tule tutoto wanasema tuumenenepa kwa dola zetu
Msanii ukisema vyombo ya ulinzi na usalama hapo kwenye ulinzi unamaanisha jeshi kitu ambacho sio sahihi kwa sababu hiyo sio kazi yake. Vyombo vya usalama ndio hivyo vyote vinavyojulikana sana.Serikali kupitia vyombo vya ulinzi na usalama imeshindwa kuhakikisha usalama na uhai wa Watanzanja.
Wawajibike
There is no need of reinventing the wheel. Kama unajua Ni wapi na lini tujuze.Google wewee acha uzembe.
Reinventing ndo nini wewe. Unaandika kimang'ati humu?There is no need of reinventing the wheel. Kama unajua Ni wapi na lini tujuze.
Kaka leo Ni sikukuu lazima kuweka ung'eng'e kidogo.Reinventing ndo nini wewe. Unaandika kimang'ati humu?
Tuandikeje sasaGoogle wewee acha uzembe.