Mtoto kugomea shule akiwa kidato cha Nne

Wewe tulia hujui uchungu wa ada wala nauli jumlisha mahitaji yake mengine.

Wewe unadhani kwa maisha ya sasa hataki shule kajiingiza kwenye mahusiano ni sahihi kwako.
Anaomba mvua wakati wa masika huyu!
 
Karogwa huyo!!
 
Kwa hio akasome Archimedes principl
Na law of friction , quadratic equation afeli ? Upoteze ada
 
Kwa hio akasome Archimedes principl

Na law of friction , quadratic equation afeli ? Upoteze ada
Hakuna ada inayopotea elimu ni haki ya msingi kwa mtoto umaskini wetu ndio unafanya tuhesabu hela ya ada of which ni hela ambayo usingetakiwa hata kuiwazia kama unavyonunua dawa kichwa kikiuma ukajitibia huwezi anza fikiria 600 ya kidonge ulichonunua
 
Huyo siyi jeuri inawezekana ndo ile stage yake ya makuzi. Na ktk kipindi hicho wanaona dunia yote ipo mikononi wanaweza fanya kitu chochote.

Msitumie nguvu wala kuwapeleka polisi. Jenga urafiki naye mwambie mjenge kisaikolojia. Lkn pia mchukue mpeleke maeneo yenye watoto wenye uhitaji mfano kwenye makao ya watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu,,watoto wa mitaani.


Lkn changamoto kubwa tuliyonayo wazazi wa leo tunalea watoto wetu kuwa wasipate shida ambazo sisi tulipitia na hivyo mtoto na yeye anaishi humu kwa kuamini mzazi hata kama nisiposoma basi sitapata shida mbeleni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora huyo kidato cha nne juzi nimetoka kumpiga mtoto wa dada yangu nusu niuwe yupo kidato cha kwanza hataki shule ila sijamshindwa bado [emoji51]

Muulize vizuri kwanin anakataa je atapenda kwenda shule nyingine?huwezi jua labda hapendi ongea nae taratibu tu muulize anapenda nin?kisha mshaurii vizuri kuhusu elimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…