Telewolth bin champion
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 2,386
- 6,473
Had uanze kumlipia mwanao Ada ya 20mil+ Jua you are well Financially…mostly kwenye biashara so kuja kupambania ajira kwa hili soko…Duhh utakua hauko sawa kichwani.Ukienda mlimani city ndio utakutana na maajabu ya watoto wanaosoma hizo Eng
Shule nyingi zinatumia mtaala.wa NECTA. ZA CAMBRIDGE ziko chache sana na kama ylivyosema , ada ni zaidi ya 20m kwa mwaka na inategemea yuko grade gani.
All in all, hata waliosoma hizo zenye mitaala ya CAMBRIDGE haisaidii sana kama soko lao la ajira ni hili hili la Tanzania.
Unawekeza billions kwenye elimu halafu outputs ni ndogo.
Kuna dada mmoja kasoma Feza International baada ya hapo masters Marekani, kaja kuajiriwa ubalozini . Kazi anajifunza kama wengine tu ambao wamesoma vyuo vya bongo. Kazi ni zaidi ya elimu ya darasani
Nimesema hyo yote hapo chiniKila mtu na maamuzi yake mkuu, hela anayo kwanini asipeleke mwanae sehemu nzuri akapata quality education ?
Wote kupata As ama wote kusoma UDSM sio kigezo cha kusema usipatie mtoto wako elimu bora.
Shule nyingi nzuri Tz lkn elimu ni kukaririshana kwa kumpa mtoto programmes nyingi ili abebe materials kichwani.Elimu ya Tz ni utapeli aheri hzo 5 Milion kwa mwaka,uwekeze UTT atazikuta huko ukubwani!! Faten wahind na waarabu jns wanai treat elimu kwa hapa bongo.
Shida ni mtaala wetu!! Ni mtaala wa mkoloni…!Shule nyingi nzuri Tz lkn elimu ni kukaririshana kwa kumpa mtoto programmes nyingi ili abebe materials kichwani.
Huu ujinga wa kusifia darasa 4 nimeona awamu hiiFinally UDSM.
🤨🚮Absolutely, Ndo sehemu pekee kwa hapa Tanzania mtu anaweza pata quality education
Wapo ambao ni watumishi wa serikali wanasomesha watoto wao hizo shule. Wanategemea ajira hizo hizo za serikali. Hela za dealsHad uanze kumlipia mwanao Ada ya 20mil+ Jua you are well Financially…mostly kwenye biashara so kuja kupambania ajira kwa hili soko…Duhh utakua hauko sawa kichwani.
Hadi hili unataka kubishana na ni fact ipo wazi wazi?
Em kojoa ukalaleWakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.
Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja
Elimu nzuri ni gharama wakuu.
Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.
Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.
Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k
Elimu nzuri ni gharama.
Wenzetu hata mitihani hiyo hawana mpaka anapomaliza form four au basic educationHuu ujinga wa kusifia darasa 4 nimeona awamu hii
Anaweza kumaliza form six na four ya Mwisho bado sanaWakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.
Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja
Elimu nzuri ni gharama wakuu.
Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.
Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.
Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k
Elimu nzuri ni gharama.
La Nne kupiga A nayo mpaka hela siku hizi? Darasa la nne????? Inamaana elim imekuwa ya kise**e hivi mpaka mtu kupata A darasa la nne imekuwa ni News??Wakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.
Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja
Elimu nzuri ni gharama wakuu.
Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.
Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.
Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k
Elimu nzuri ni gharama.
Matumizi mabaya ya pesa, muda tuWenzetu hata mitihani hiyo hawana mpaka anapomaliza form four au basic education
Wakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.
Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja
Elimu nzuri ni gharama wakuu.
Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.
Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.
Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k
Elimu nzuri ni gharama.
genius hawahitaji kupambwa kama hivoo!? hyo elimu ya kumezeshwa haitamsaidia kitu ikiwa ajira zenyewe ndo kama hvo kaka zake tu tupo foleni tunamsubiri aje aunge foleni!? Iweee wasalimie bukobaWatakutana na Wakwangu wakiwa na Bahasha kutafuta kazi ya mshahara wa laki tano.
Wako kasoma kwa milioni 50 wangu kasoma kwa 1M tu.
Ndio hapo aiseegenius hawahitaji kupambwa kama hivoo!? hyo elimu ya kumezeshwa haitamsaidia kitu ikiwa ajira zenyewe ndo kama hvo kaka zake tu tupo foleni tunamsubiri aje aunge foleni!? Iweee wasalimie bukoba
AiseeLa Nne kupiga A nayo mpaka hela siku hizi? Darasa la nne????? Inamaana elim imekuwa ya kise**e hivi mpaka mtu kupata A darasa la nne imekuwa ni News??
Mwalimu analipwa vizuri kuanzia 2M anaachaje kua smartNiliwahi kwenda pale Agha Khan Primary School, ipo jirani na shule za Zanaki, Olympio na Diamond.
Umasikini ni mbaya tena ni laana, ee Mungu Baba tutoe huku. Wale watoto ukiwatazama wooote unawaona wamenawiri, wana afya, ngozi nyeusi ina mafuta mafuta yenye kupendeza.
Watoto wadogo wameshiba vizuri, uniform imekaa penyewe, imemtight vizuri. Vifungo vya shati vimebana, kiatu cheusi na soksi nyeupeee.
Hakuna mtoto asiyechana nywele, hakuna mtoto akiongea anarusha mate. Watoto wanacheza kistaarabu, muda wa kutoka pale nje hakuna bajaj au boda hata moja inayosubir kumchukua mtoto, nje kuna prado, harrier, benz, alphard n.k hizi IST, Raum, Rumion ambazo sisi tunatambazo nazo basi pale ndo gari za kwenda kuchukulia watoto.
Ukikaa pale kwa lisaa tu hakika utachukia hizi shule zetu za Kayumba. Walimu wapo smart, hakuna mwalimu kavaa kata K, hakuna mwalimu anayevaa suluari za malinda au zile suluari za karume za elfu tatu tatu sijui elfu nne.
Ee Mungu utusaidie.