Telewolth bin champion
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 2,386
- 6,473
UPUUZI MTUPU, 2025 kutumia kigezo cha kufanikiwa kukalili majibu ya notes mnashangilia? Kama Taifa tunasafari ndefu sana mpaka watu watakapotambua utofauti wa elimu na kukalili TAKATAKA za darasani.
Kiufupi Tanzania hatuna elimu, bali tuna mfumo wa kipuuzi wa kukalilisha watoto wasome kipi, wajue kipi, wahoji kipi, wawe vipi, yaani tunawasuka watoto wawe ndani ya mfumo ambao wanaaminishwa ndio maisha na ndio ufunguo wa mafanikio.
Baadae vilio ndio hivi Kila mwaka vilaza wapya kutoka vyuo vikuu wanaingia mitaani wakiwa hawana A wala B ya maisha zaidi ya kuilalamikia serikali iwape ajira.
Kiufupi Tanzania hatuna elimu, bali tuna mfumo wa kipuuzi wa kukalilisha watoto wasome kipi, wajue kipi, wahoji kipi, wawe vipi, yaani tunawasuka watoto wawe ndani ya mfumo ambao wanaaminishwa ndio maisha na ndio ufunguo wa mafanikio.
Baadae vilio ndio hivi Kila mwaka vilaza wapya kutoka vyuo vikuu wanaingia mitaani wakiwa hawana A wala B ya maisha zaidi ya kuilalamikia serikali iwape ajira.