Mtoto wa kaka yangu wa kwanza (First born) amebamiza 'A' za kutosha za darasa la nne mpaka nimeogopa sana, tutafute pesa Elimu nzuri ni gharama

Mtoto wa kaka yangu wa kwanza (First born) amebamiza 'A' za kutosha za darasa la nne mpaka nimeogopa sana, tutafute pesa Elimu nzuri ni gharama

UPUUZI MTUPU, 2025 kutumia kigezo cha kufanikiwa kukalili majibu ya notes mnashangilia? Kama Taifa tunasafari ndefu sana mpaka watu watakapotambua utofauti wa elimu na kukalili TAKATAKA za darasani.

Kiufupi Tanzania hatuna elimu, bali tuna mfumo wa kipuuzi wa kukalilisha watoto wasome kipi, wajue kipi, wahoji kipi, wawe vipi, yaani tunawasuka watoto wawe ndani ya mfumo ambao wanaaminishwa ndio maisha na ndio ufunguo wa mafanikio.

Baadae vilio ndio hivi Kila mwaka vilaza wapya kutoka vyuo vikuu wanaingia mitaani wakiwa hawana A wala B ya maisha zaidi ya kuilalamikia serikali iwape ajira.
 
Ukienda mlimani city ndio utakutana na maajabu ya watoto wanaosoma hizo Eng

Shule nyingi zinatumia mtaala.wa NECTA. ZA CAMBRIDGE ziko chache sana na kama ylivyosema , ada ni zaidi ya 20m kwa mwaka na inategemea yuko grade gani.
All in all, hata waliosoma hizo zenye mitaala ya CAMBRIDGE haisaidii sana kama soko lao la ajira ni hili hili la Tanzania.
Unawekeza billions kwenye elimu halafu outputs ni ndogo.
Kuna dada mmoja kasoma Feza International baada ya hapo masters Marekani, kaja kuajiriwa ubalozini . Kazi anajifunza kama wengine tu ambao wamesoma vyuo vya bongo. Kazi ni zaidi ya elimu ya darasani
Had uanze kumlipia mwanao Ada ya 20mil+ Jua you are well Financially…mostly kwenye biashara so kuja kupambania ajira kwa hili soko…Duhh utakua hauko sawa kichwani.
 
Kila mtu na maamuzi yake mkuu, hela anayo kwanini asipeleke mwanae sehemu nzuri akapata quality education ?
Wote kupata As ama wote kusoma UDSM sio kigezo cha kusema usipatie mtoto wako elimu bora.
Nimesema hyo yote hapo chini
 
Elimu ya Tz ni utapeli aheri hzo 5 Milion kwa mwaka,uwekeze UTT atazikuta huko ukubwani!! Faten wahind na waarabu jns wanai treat elimu kwa hapa bongo.
Shule nyingi nzuri Tz lkn elimu ni kukaririshana kwa kumpa mtoto programmes nyingi ili abebe materials kichwani.
 
Wakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.


Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja

Elimu nzuri ni gharama wakuu.

Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.

Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.

Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k


Elimu nzuri ni gharama.
Em kojoa ukalale
 
Wakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.


Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja

Elimu nzuri ni gharama wakuu.

Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.

Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.

Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k


Elimu nzuri ni gharama.
Anaweza kumaliza form six na four ya Mwisho bado sana
 
Wakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.


Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja

Elimu nzuri ni gharama wakuu.

Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.

Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.

Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k


Elimu nzuri ni gharama.
La Nne kupiga A nayo mpaka hela siku hizi? Darasa la nne????? Inamaana elim imekuwa ya kise**e hivi mpaka mtu kupata A darasa la nne imekuwa ni News??
 
Wakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.


Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja

Elimu nzuri ni gharama wakuu.

Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.

Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.

Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k


Elimu nzuri ni gharama.

Watakutana na Wakwangu wakiwa na Bahasha kutafuta kazi ya mshahara wa laki tano.

Wako kasoma kwa milioni 50 wangu kasoma kwa 1M tu.
genius hawahitaji kupambwa kama hivoo!? hyo elimu ya kumezeshwa haitamsaidia kitu ikiwa ajira zenyewe ndo kama hvo kaka zake tu tupo foleni tunamsubiri aje aunge foleni!? Iweee wasalimie bukoba
 
genius hawahitaji kupambwa kama hivoo!? hyo elimu ya kumezeshwa haitamsaidia kitu ikiwa ajira zenyewe ndo kama hvo kaka zake tu tupo foleni tunamsubiri aje aunge foleni!? Iweee wasalimie bukoba
Ndio hapo aisee
 
Niliwahi kwenda pale Agha Khan Primary School, ipo jirani na shule za Zanaki, Olympio na Diamond.

Umasikini ni mbaya tena ni laana, ee Mungu Baba tutoe huku. Wale watoto ukiwatazama wooote unawaona wamenawiri, wana afya, ngozi nyeusi ina mafuta mafuta yenye kupendeza.

Watoto wadogo wameshiba vizuri, uniform imekaa penyewe, imemtight vizuri. Vifungo vya shati vimebana, kiatu cheusi na soksi nyeupeee.

Hakuna mtoto asiyechana nywele, hakuna mtoto akiongea anarusha mate. Watoto wanacheza kistaarabu, muda wa kutoka pale nje hakuna bajaj au boda hata moja inayosubir kumchukua mtoto, nje kuna prado, harrier, benz, alphard n.k hizi IST, Raum, Rumion ambazo sisi tunatambazo nazo basi pale ndo gari za kwenda kuchukulia watoto.

Ukikaa pale kwa lisaa tu hakika utachukia hizi shule zetu za Kayumba. Walimu wapo smart, hakuna mwalimu kavaa kata K, hakuna mwalimu anayevaa suluari za malinda au zile suluari za karume za elfu tatu tatu sijui elfu nne.

Ee Mungu utusaidie.
Mwalimu analipwa vizuri kuanzia 2M anaachaje kua smart
 
ridhika na ulichonacho hujui mwenzio kafikaje pale moyo wa mtu kichaka!
 
Back
Top Bottom