Mtoto wa Lukuvi aolewa na mtoto wa Mohammed Aboud

Hahah ukimbeba mara kwa mara kwenye ile Td42 lazima ageuke kua mwaju ndalafupi.

dodge

Hahaa!!!

Kwao vichochoroni haifiki. Nina mpango wa kuipiga bei, tuwe tunapiga mwendo wa ngondi tu!! Buruta miguu mpaka tuote magaga, kwenye vigodoro vyoote tuwe tunahudhuria na mamsap wangu mwajuma ndala ndefu!
 
Shilole anakwenda mjengoni Uchebe ajiandae
Hhahhaha...tunamwomba mapema kbs ampe talaka bibie..maana siku y bdy nilicheka san shilole alivyokuwa amenuna dah wanaume tafuteni tu hela jaman! Shilole🙌🙌
 
Hivi nyie waarabu wa Bongo hayo mapanga mnaofunga kiunoni ni ya nini ?
Manjonjo tu, lazima kuwe na ma-swagger na mbwembwe...
Tuliambiwa dunia ina mambo, tukue tuyaone...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…