Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
🤣🤣🤣🤣na anavyojua kuhadithia Sasa🤣🙌@KENZY manusura wa jf apite huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣na anavyojua kuhadithia Sasa🤣🙌@KENZY manusura wa jf apite huku
Au basi tuAlikuwa chadema wakati wa Magufuli akahamia CCM
So saaadMtoto alikuwa anasoma St. Mary’s Mazinde Juu, Lushoto. Alikua shule muda wote, form two walifunga shule tarehe 19 August, kwa hiyo alikuwa haja kaa nyumbani hata wiki moja! Wenzake wana rudi shuleni weekend hii! So sad, pole sana Mwambe, mtoto wangu alikuwa anasoma na Cecilia, amesema ni binti mwenye nidhamu, mtiifu, asiye na makuu na uwezo mzuri sana wa masomo!
Lazima atakuwa wa ccm !Uchaguzi uliotuletea hili bunge kuna mpinzani aliyepita ?Huyu mbunge ni wa chama gani?
Hili nalo nendeni mkaliangalieMtoto wa mbunge Mwambe afariki dunia jana akiwa anaogelea na wenzanke nyumbani kwao. Alijirusha kwenye kina kifupi cha maji ndani ya bwawa la kuogelea lilipo nyumbani kwao na akagonga kichwa. Watu wazima hawakuwepo nyumbani chanzo cha taarifa kinasema. Poleni kwa familia
View attachment 2334563
Mtoto alikuwa anasoma St. Mary’s Mazinde Juu, Lushoto. Alikua shule muda wote, form two walifunga shule tarehe 19 August, kwa hiyo alikuwa haja kaa nyumbani hata wiki moja! Wenzake wana rudi shuleni weekend hii! So sad, pole sana Mwambe, mtoto wangu alikuwa anasoma na Cecilia, amesema ni binti mwenye nidhamu, mtiifu, asiye na makuu na uwezo mzuri sana wa masomo!
R.I.P Cellie MwambeMtoto wa mbunge Mwambe afariki dunia jana akiwa anaogelea na wenzanke nyumbani kwao. Alijirusha kwenye kina kifupi cha maji ndani ya bwawa la kuogelea lilipo nyumbani kwao na akagonga kichwa. Watu wazima hawakuwepo nyumbani chanzo cha taarifa kinasema. Poleni kwa familia
View attachment 2334563
Duh.......!huyu binti mama yake alishakufa pia nafikiri last year ndio Mh Mbunge akavuta mbunge mwenzie, sadly amemfuata mama yake immeaditely. Watu wa spiritual watasema kitu hapa, au wale ndugu zetu wa manyanga nao lazima watie neno.
Kweli na juzi hapo alinusurikq kufa na familia yake kwenye ajali ya moto gari iliwaka moto.
Aisee kuna mengi tutayasikia. So huyo mama alikua na mtoto mmoja?huyu binti mama yake alishakufa pia nafikiri last year ndio Mh Mbunge akavuta mbunge mwenzie, sadly amemfuata mama yake immeaditely. Watu wa spiritual watasema kitu hapa, au wale ndugu zetu wa manyanga nao lazima watie neno.
Hakuna mwana siasa mwenye kuanzia ngazi ya ubunge asiye na makazi Dar. Hata uje kwa Mrema (r.ip), Mboe, Zitto wote ungewakuta Dar japo majimbo yao yalikuwepo mikoani.Kwahiyo Mbunge wa Ndanda anaishi Dar es salaam, Kino, Ada Estate.
Tanzania ni nchi inayofurahisha sana.
hata niwe na pesa nyingi za kuchezea swimming pool siwez kujenga nyumban kwangu... Hata watoto wangu sitak wajue kuogelea, mimi maji yakinifika kwenye magoti nageuza kwa kukimbia
Kuna kuwa na notes vibaao vinawekwa kama taadhari. Jichanganye na ukuta ni krefu hadi upandeNdo hapo wanasema amekamatwa anawanga kakutna na nguvu zaidi yake kumbe kitu cha umeme