dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,502
- 3,483
Unasubiri nini kumfungia nje? Mwambie asikuletee kiburi sababu utamnyoa kwa kigae tena umwambie mbele ya mama yake usiku huku ukimvuta nje wakati mvua inanyesha. Uone kama hasemi nisamehe baba. Kisha mwambie futa machozi haraka sana na nisikie kelele.
Then akinyamaza unampa adhabu ya kuamka mapema apanguse viatu vyako kabla ya shule.
Uone kama atajaribu kuuliza tena huyu ni nani. Avae kanga ya mama yako ndo baba yako mwambie.
Then akinyamaza unampa adhabu ya kuamka mapema apanguse viatu vyako kabla ya shule.
Uone kama atajaribu kuuliza tena huyu ni nani. Avae kanga ya mama yako ndo baba yako mwambie.