Mtoto wa Museveni Kainerugaba atema cheche kuhusu Rwanda na DR Congo. Afrika Mashariki wanyamaza

Mtoto wa Museveni Kainerugaba atema cheche kuhusu Rwanda na DR Congo. Afrika Mashariki wanyamaza

Usisahau uhasama uliopo kati ya Kenya na Uganda ,unafiki tu ,Burundi ana bifu na Rwanda ,Rwanda Vs Congo , Tanzania pia na Kenya kulikuwa na bifu za chini , unafiki tu labda mambo yanabadilika baada ya luto kuingia .
Hii EAC ni garbage

,
Somewhere something is not Right, the issue is M23 Watolewe kwenye Ardhi ya DRC , the issue has nothing to do with Rwanda ,ordinary citizen wa DRC Wanateseka especially wamama na watoto kila siku wanakufa kwa sababu ya hao M23, Rwanda ni mwanachama wa EAC watoe ushirikiano na wauunge mkono jitahada za Reginal force kuwaondoa hao M23 Kwenye ardhi ya congo ...huu siyo wakati wa kuwa blame Rwanda ni wakati wa kuungana kwa pamoja kama EAC kuwa disarm vikundi vyote vya Waasi vilivyoko ndani ya DRC territorial area kwa ajili ya usalama katika ukanda wa maziwa makuu...OVER
 
Hao wabanwe kwenye bandari tu over!
Ungejua Rwanda na Uganda wanalipa Tanzania kiasi gani kutumia hiyo bandari usingeongea huo upuuzi, jaribuni then ndio mtamjua mkenya ni mtu wa namna gani, ila kwa ufupi Kenya will be more than happy na anaomba mfanye hicho kitu
 
Kipindi flani hawa Rwanda na Uganda wasingetamba hivi. Mimi nawaonea huruma sana Congo. Hawa miaka mingi wanachezewa.

Toka miaka ile na wakoloni na sasa waafrika wenyewe kwa wenyewe. Tena wa hapa hapa East Africa. Hapana kwa kweli. Ningekuwa na uwezo ningewasaidia Congo. Hawa wapuuzi wanaamini kwa East Africa wao ni untouchable.

Tunajua Ruto si mtu wa Vita. Anaonekana anapenda sana amani. Hajui wakati mwingine amani haipatikani isipokuwa kwa ncha ya Upanga. Basi ndo hivyo. Msome mtoto wa Museveni. Huyu jamaa kichwani empty sana. Basi tu.

View attachment 2434986
Siyo empty huyu jamaa ndivyo alivyolelewa. Yeye taifa kwake ni Ututsi. Huyu ni mtutsi kwao mbari ndio kila kitu. Hivi sasa wanajua wanatawala rwanda na uganda. Burundi ilijikomboa toka makucha yao miaka michache. Binafsi naona kama congo bado wameishikilia kinamna. Tanzania enzi za nyerere walijaribu kupitia mapinduzi ya kijeshi.
Kwa ufupi hawa wadudu ni hatari kwenye eneo letu. Ni sawa na makaburu maana wakifanikiwa kuchukua madaraka nchini mwenu ni ubaguzi wa kimbari mbele kwa mbele tena hawajali kitu. Kila cheo ni wao wenyewe wakiita chef kabila zingine mnakua boi tu. Majeshi ndio usiseme wanajua ndio nguzo ya madaraka. Wanahakikisha vyeo vyote wanashika askari kabila yao na wanakua ndio wengi. Wee zione tu hizo ndude ni hatari sana.
Afrika ya mashariki tujihadhari sana na tamaa ya madaraka ya watutsi
 
Huyo Muhoozi huwa mnamuona yuko Timamu akilini kwa tweets zake?

Kwa umri huo kila kitu lazima amuhusishe baba yake hata vyeo hivyo hakuvipata kwa merit haijalishi kozi ngapi za kijeshi kaenda.

Tukija kwa huyo Kagame na Museveni hawa muda mrefu ni washirika na Muhoozi akimuita Kagame mjomba , hawa wote ni tanga tanga wameishi Kenya pia Tanzania kwa wakati fulani japo kwa M23 inafadhiliwa na Rwanda akisaidiwa na Uganda na wakiamini DRC ni kwa watutsi na wao wanaweza kupata mgao wa fedha za madini.

Madikteta wawili wasipoangaliwa ukanda unaenda kuwa wa machafuko ya kisiasa
 
Huyo Muhoozi huwa mnamuona yuko Timamu akilini kwa tweets zake?

Kwa umri huo kila kitu lazima amuhusishe baba yake hata vyeo hivyo hakuvipata kwa merit haijalishi kozi ngapi za kijeshi kaenda.

Tukija kwa huyo Kagama na Museveni hawa muda mrefu ni washirika na Muhoozi akimuita Kagame mjomba , hawa wote ni tanga tanga wameishi Kenya pia Tanzania kwa wakati fulani japo kwa M23 inafadhiliwa na Rwanda akisaidiwa na Uganda na wakiamini DRC ni kws watutsi na wao wanaweza kupata mgao wa fedha za madini.

Madikteta wawili wasipoangaliwa ukanda unaenda kuwa wa machafuko ya kisiasa
Yaani uongozi wa juu wa EAC Ushughulike conflict hii kwa umakini na kwa uangalifu mkubwa ,bila hivyo unaweza ukawa spread nakusababisha hali ya usalama kuwa tete katika ukanda wa Africa Mashariki na kati kwa ujumla ,i belive diplomacy will rather works than the military options.
 
Kipindi flani hawa Rwanda na Uganda wasingetamba hivi. Mimi nawaonea huruma sana DR Congo. Hawa miaka mingi wanachezewa.

Toka miaka ile na wakoloni na sasa Waafrika wenyewe kwa wenyewe. Tena wa hapahapa East Africa. Hapana kwa kweli. Ningekuwa na uwezo ningewasaidia Congo. Hawa wapuuzi wanaamini kwa East Africa wao ni untouchable.

Tunajua Ruto si mtu wa Vita. Anaonekana anapenda sana amani. Hajui wakati mwingine amani haipatikani isipokuwa kwa ncha ya Upanga. Basi ndo hivyo. Msome mtoto wa Museveni. Huyu jamaa kichwani empty sana. Basi tu.

View attachment 2434986
Ukiona kobe juu ya mti jua kapandishwa huyo, huyu anachoongea kimetoka mdomoni mwa farasi mwenyewe.......sasa enyi bongolala na kunyaland endeleeni na fitna zenu mnazofanyiana nyinyi kwa nyinyi, PK na Mu7 ndo wanawaonyesha shoo hivyo......ni wakati sasa wa DRC kusimama kwa miguu yake, akitegemea hizi diplomacy za kinafiki za EA atapoteza mazima.​
 
..kwa kosa la kufadhili magaidi wa m-23.
Hii ni kazi ya waKongo wenyewe. Wasipotaka kuifanya ni shauri zao.
Ujuha wao ni kudhani nchi kama Kenya itakwenda kupigana vita kwa niaba yao. Sasa angalia wanavyoachwa kwenye mataa.

Kama hukumbuki ngoja nikukumbushe, jinsi Mseveni na Kenyatta walivyokuwa wakirukaruka kuhusu jeshi la Afrika Mashariki kwenda kwaadabisha wote wanaohusika na mgogoro huko Congo. Yaliyosemwa kwenye mkutano ule wa mwanzo unayakumbuka?
Ilikuwa ni vitisho vya vita kwa yeyote ambaye angekiuka masharti yaliyowekwa na hawa wasanii.

Mara huyo Kenyatta shatuma kikosi huko, kwenda kuanza shughuli. Wanajeshi wanatua tu Goma, kazi ikabadilika, ikawa ni "ulinzi wa amani" na wala siyo mapambano na yeyote atakayekiuka na kuvuka mstari.

M23, wakafurahi na kuchekelea wakiwakaribisha wajeshi wa Kenya.

Kagame naye kaweka ahadi ya kuwaamrisha M23 wasitishe mapigano, hii anamuahidi rafiki yake Kenyatta.

Askari waliokwenda kupigana vita, lengo likawa kulinda uwanja wa ndege Goma na siyo huko vita inakopiganwa.

Na kwa upande wa pili, 'project' ya Kenya (Tshekedi) naye anachanganyikiwa, hajui lengo la jeshi la Kenya kwenda Congo ni lipi hasa!

Kiufupi, itakuwa ni kosa la hali ya juu sana kwa Tanzania kujiingiza kwenye igizo hili ambalo limebuniwa na Kenya.

Congo ni muhimu aelewe kwamba hawezi kumtegemea Kenya, kwa sababu Kenya hawezi kumsaliti Rwanda, na sasa kwa vile Mseveni ni rafiki mkubwa wa Ruto, Tshekedi ajue atazungushwa hadi akili zimruke.

Njia pekee ya kumaliza hili ni kwake na wananchi wake wajifunge kibwebwe kikamilifu kuwakabili Rwanda na Uganda chini ya M7, vinginevyo wataendelea kulia sana.

M23 wataendelea kuwaliza wakati Kagame na Mseveni wakiwa watawala wa nchi hizo mbili.

Kila M23 anapotandikwa, kama alivyofanywa hapo 2012, atakimbilia Rwanda na Uganda, na kwenda kujipanga upya kwa msaada wa hao viongozi wawili.
 
Back
Top Bottom