Mtoto wa Museveni Kainerugaba atema cheche kuhusu Rwanda na DR Congo. Afrika Mashariki wanyamaza

Mkuu viongozi wa drc na jeshi lao ni wajinga na corrupt sana. Tshisekedi kaondoa viongozi jeshi fardc kaweka watu kabila yake sio wajuzi wa kijeshi bali wahuni wenye kujichubua ngozi na kuvaa micheni shingoni. Si makamanda wala askari wote ni watu waoga kama kunguru.
Wanataka wabakie na mauniform ya jeshi ila vita askari wa kigeni ndio wapigane.
Ile round ya kwanza kuwapiga M 23 bila msaada wa tanzania wasingeweza kitu. Ila huwezi sikia shukrani au kutajwa tanzania isipokua kutukuza jeshi lao lisiloweza kupiga adui.
 
Acheni mambo zenu, kwani wa congo man wako wapi kuipigania nchi yao.
Kazi kushinda kwenye vioo na kujikoboa sura.

Wajikusanye wakaipiganie nchi yao, siyo kucheza muziki na kukata mauno , alafu sisi ndiyo tukawapambanie vita yao.
Mbona wao wanazipambania Teams zetu?
 
Hawa viongozi wanaoleta choko choko, wangekuwa wao na familia zao wanaenda 'frontline' kupigana, tungeweza kuwaelewa. Tofauti na hapo, ni kutesa nguvu kazi za familia za watu.
 
Jamaa kaongea ukweli hapo.
wala hakuna uongo. Maelezo yamenyooka Rwanda na Uganda ni mtu na kaka yake
 
Haka katoto katakufa kwa risasi muda si mrefu.
 
Pamoja na ubovu wa jeshi lao huo, lakini nadhani sasa hali imebadilika hasa kutokana na wananchi wenyewe sasa kuchoshwa na hali hiyo mbovu.
Sasa unaanza kuona wananchi wakikabiliana na MONUSC, kwa kujua hawasaidii chochote. Hata hao M23 sasa hawaungwi mkono na wananchi wa maeneo hayo, bali wanatambulika kuwa maadui.

Kwa hiyo hali inabadilika, na itafikia mahali serikali ya Kongo yenyewe ichukue jukumu la kupambana na hawa M23 na wafadhiri wao wakuu, Kagame na Mseveni.
 
Hii itakuwa fake hata hiyo website ya BBC siyo ya kweli kabisa. bbc.in/3VL4f2P
 
Huyu ni mbuzi kama alivyokuwa Mbuzi Idd Amin.
 
Vita ni gharama, kuna kupoteza rasilimali watu, fedha na muda; ukimya unasaidia

Uko sahihi, lkn utulivu wa Mashariki mwa Congo nao ni muhimu.
Wajumbe wengine badala ya kwenda battlefield, wachangie rasilimali zingine.
 
Hivi Tanzania tuna SAMs gani ya kuzizuia hizi....

 
Kwani ni uongo?

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Haujui kuwa Kagame alipigana vita vya kumtoa Idd Amini na pia vita ya msituni kumuingiza Mu7 madaraka ma kwamba yeye Kagame ndiye alikuwa mkuu wa kitengo cha usalama nchini Uganda kipindi cha awali utawala wa Mu7.

Sasa hapo kwanini mnamshutumu Jenerali kwaa kusema Ukweli.

Hata kuivamia Tanzania na sawa na kuivamia Uganda.

Kuivamia Uingereza umeivamia Marekani
 
Hili lina mantiki kubwa zaidi......so long as DRC ni mwanachama wa SADC, aombe usaidizi wa kijeshi na kiulinzi kupitia SADC maana hizi nchi za EA tayari zimeonekana kuwa na makandokando mengi kwenye mgogoro wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…