TANZIA Mtoto wa mwanamziki Davido Afariki Dunia akiwa anaogelea

TANZIA Mtoto wa mwanamziki Davido Afariki Dunia akiwa anaogelea

Dibanj mtoto wake alifariki na Swimming Pool

Davido nae mtoto wake amefariki na Swimming Pool

Swali la kujiuliza ni hili 👇

Kuna nini kwenye Swimming Pool kinachopelekea vifo vya watoto hao?

JIBU: Kuna Maji Mengi

Usisahau umezaliwa ukiwa na uoga vitu viwili tu

1. Uoga wa Sauti kubwa
2. Uoga wa Kuanguka

Haujazaliwa na uoga wa kufa maana ukifa utazaliwa tena upya..

Asante kwa kuisoma comment hii
Mkuu ni kafara tu. Freemason wewe unadhani ni nini zaid ya hiyo?
 
Watu tisa ndani ya nyumba na bado mtoto anazama kwenye swimming pool,haki hichi kifo kina walakini.Ngoja tusubiri hiyo report ya kifo kama itawekwa hadharani na Polisi.Ila hamna watu wanaongoza kwa kutoa makafara kama Wanaijeria nimefika kwao nimeishi nao kwa mda aisee ni balaa zito.Nashangaa hawa wanaobisha kwa ufupi tu jaribuni kugoogle voodoo mjionee hii ni mojawapo ya ndumba maarufu.Tufiakwa
Wazaz na hao watu walikuwa bize na insta tiktk tu

Ova
 
Watu tisa ndani ya nyumba na bado mtoto anazama kwenye swimming pool,haki hichi kifo kina walakini.Ngoja tusubiri hiyo report ya kifo kama itawekwa hadharani na Polisi.Ila hamna watu wanaongoza kwa kutoa makafara kama Wanaijeria nimefika kwao nimeishi nao kwa mda aisee ni balaa zito.Nashangaa hawa wanaobisha kwa ufupi tu jaribuni kugoogle voodoo mjionee hii ni mojawapo ya ndumba maarufu.Tufiakwa
Tufiakwa[emoji23][emoji23][emoji28]

Umenikumbusha hili neno analipenda sana yule mzee Chiwetalu Agu
 
Watu tisa ndani ya nyumba na bado mtoto anazama kwenye swimming pool,haki hichi kifo kina walakini.Ngoja tusubiri hiyo report ya kifo kama itawekwa hadharani na Polisi.Ila hamna watu wanaongoza kwa kutoa makafara kama Wanaijeria nimefika kwao nimeishi nao kwa mda aisee ni balaa zito.Nashangaa hawa wanaobisha kwa ufupi tu jaribuni kugoogle voodoo mjionee hii ni mojawapo ya ndumba maarufu.Tufiakwa
Case Closed.
 
Watu tisa ndani ya nyumba na bado mtoto anazama kwenye swimming pool,haki hichi kifo kina walakini.Ngoja tusubiri hiyo report ya kifo kama itawekwa hadharani na Polisi.Ila hamna watu wanaongoza kwa kutoa makafara kama Wanaijeria nimefika kwao nimeishi nao kwa mda aisee ni balaa zito.Nashangaa hawa wanaobisha kwa ufupi tu jaribuni kugoogle voodoo mjionee hii ni mojawapo ya ndumba maarufu.Tufiakwa
Hatari na nusu

Cc: Watu8
 
Kuna baharia mmoja namjuwa nyumbani kwake kunduchi kulikuwa na pool
Sasa kuna wakati lile pool juu walilifunika na plastic kubwa kuzuia uchafu nk
Sasa kuna siku mtoto mdogo alidumbukia mule lile fuko likamfungafunga,mtoto alikata moto pale pale
Mpaka leo lile bwawa jamaa kageuza dampo la taka tu

Ova
Sentence ya mwisho nimecheka kama mazuri mkuu daa
 
Miaka mitatu kwenye swimming pool?? Wazazi wapigwe viboko.
 
Yule shorti wa ccm, asije anza kuchangisha rambi rambi.
 
Back
Top Bottom