Mo graphics 2019
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,002
- 1,483
Wnamsemo wao tupe picha story tunatunga wenyeweJamaa nyingi za kibongo ziko negative mind
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wnamsemo wao tupe picha story tunatunga wenyeweJamaa nyingi za kibongo ziko negative mind
Mkuu ni kafara tu. Freemason wewe unadhani ni nini zaid ya hiyo?Dibanj mtoto wake alifariki na Swimming Pool
Davido nae mtoto wake amefariki na Swimming Pool
Swali la kujiuliza ni hili 👇
Kuna nini kwenye Swimming Pool kinachopelekea vifo vya watoto hao?
JIBU: Kuna Maji Mengi
Usisahau umezaliwa ukiwa na uoga vitu viwili tu
1. Uoga wa Sauti kubwa
2. Uoga wa Kuanguka
Haujazaliwa na uoga wa kufa maana ukifa utazaliwa tena upya..
Asante kwa kuisoma comment hii
Hamna bana si mipango ya Mungu ni freemason tuuuKwanini tusitafsiri kuwa ni mipang ya mungu tu . kwanini kila kitu tutafsiri katika ubaya kwani ukiwa na kipato wewe ni muabudu shetan
Apimwe DNA kabla hajazikwaKafanana na mama ake sana plus pigo wanazompigilia
DNA ya kazi gani sasaApimwe DNA kabla hajazikwa
kwa vile matajiri mungu hawaui au sioHamna bana si mipango ya Mungu ni freemason tuuu
Mtoto anafanana na mama tu kwanini?DNA ya kazi gani sasa
Popo wanavyopenda pesa kwa Hilo sishangaiWamemgawa Kwa freemason, umaarufu Una gharama
Wazaz na hao watu walikuwa bize na insta tiktk tuWatu tisa ndani ya nyumba na bado mtoto anazama kwenye swimming pool,haki hichi kifo kina walakini.Ngoja tusubiri hiyo report ya kifo kama itawekwa hadharani na Polisi.Ila hamna watu wanaongoza kwa kutoa makafara kama Wanaijeria nimefika kwao nimeishi nao kwa mda aisee ni balaa zito.Nashangaa hawa wanaobisha kwa ufupi tu jaribuni kugoogle voodoo mjionee hii ni mojawapo ya ndumba maarufu.Tufiakwa
Tufiakwa[emoji23][emoji23][emoji28]Watu tisa ndani ya nyumba na bado mtoto anazama kwenye swimming pool,haki hichi kifo kina walakini.Ngoja tusubiri hiyo report ya kifo kama itawekwa hadharani na Polisi.Ila hamna watu wanaongoza kwa kutoa makafara kama Wanaijeria nimefika kwao nimeishi nao kwa mda aisee ni balaa zito.Nashangaa hawa wanaobisha kwa ufupi tu jaribuni kugoogle voodoo mjionee hii ni mojawapo ya ndumba maarufu.Tufiakwa
Case Closed.Watu tisa ndani ya nyumba na bado mtoto anazama kwenye swimming pool,haki hichi kifo kina walakini.Ngoja tusubiri hiyo report ya kifo kama itawekwa hadharani na Polisi.Ila hamna watu wanaongoza kwa kutoa makafara kama Wanaijeria nimefika kwao nimeishi nao kwa mda aisee ni balaa zito.Nashangaa hawa wanaobisha kwa ufupi tu jaribuni kugoogle voodoo mjionee hii ni mojawapo ya ndumba maarufu.Tufiakwa
Hatari na nusuWatu tisa ndani ya nyumba na bado mtoto anazama kwenye swimming pool,haki hichi kifo kina walakini.Ngoja tusubiri hiyo report ya kifo kama itawekwa hadharani na Polisi.Ila hamna watu wanaongoza kwa kutoa makafara kama Wanaijeria nimefika kwao nimeishi nao kwa mda aisee ni balaa zito.Nashangaa hawa wanaobisha kwa ufupi tu jaribuni kugoogle voodoo mjionee hii ni mojawapo ya ndumba maarufu.Tufiakwa
Sentence ya mwisho nimecheka kama mazuri mkuu daaKuna baharia mmoja namjuwa nyumbani kwake kunduchi kulikuwa na pool
Sasa kuna wakati lile pool juu walilifunika na plastic kubwa kuzuia uchafu nk
Sasa kuna siku mtoto mdogo alidumbukia mule lile fuko likamfungafunga,mtoto alikata moto pale pale
Mpaka leo lile bwawa jamaa kageuza dampo la taka tu
Ova
Hahaha "God forbid"kwa ki "Igbo"Tufiakwa[emoji23][emoji23][emoji28]
Umenikumbusha hili neno analipenda sana yule mzee Chiwetalu Agu
Takeoff ashapigwa hukonishaipiga picha hii nahiifadh kwenye e-mail yangu nitakutafta mwakani siku kama ya leo
takeoff kashapigwa tokea jana . now me nipo msibani hapa wana wanalia sanaTakeoff ashapigwa huko