TANZIA Mtoto wa mwanamziki Davido Afariki Dunia akiwa anaogelea

Mkuu ni kafara tu. Freemason wewe unadhani ni nini zaid ya hiyo?
 
Wazaz na hao watu walikuwa bize na insta tiktk tu

Ova
 
Tufiakwa[emoji23][emoji23][emoji28]

Umenikumbusha hili neno analipenda sana yule mzee Chiwetalu Agu
 
Case Closed.
 
Hatari na nusu

Cc: Watu8
 
Sentence ya mwisho nimecheka kama mazuri mkuu daa
 
Miaka mitatu kwenye swimming pool?? Wazazi wapigwe viboko.
 
Yule shorti wa ccm, asije anza kuchangisha rambi rambi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…