Ali Nassor Px
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,384
- 3,926
basi waafrika tuna tatizo pahalaKapoteza mtoto wa kiume mkuu pamoja na yote pole kwa familia na chioma aiisee msiba mzito
Mwenzie D’banj yalimkuta pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
basi waafrika tuna tatizo pahalaKapoteza mtoto wa kiume mkuu pamoja na yote pole kwa familia na chioma aiisee msiba mzito
Mwenzie D’banj yalimkuta pia
Swimming sio kwa watoto tu kuna dada juzi raia wa kenya mtu mzima kafa kwenye swimming na alikuwa anaogelea huku anajirekodDaa maskini pole yao
Swimming na watoto inataka uangalizi mkubwa mno
Sidhani kama litabaki salama
ni wa kiume mkuuMbona kama wa kike..
Mungu amfanyie wepesi katika kipindi hiki kigumuDavido Amempoteza Mtoto Wake Wa Kike #IfeanyiAdeleke Mwenye Umri Wa Miaka Mitatu 3 (Pichani).View attachment 2403611. Kwa Mujibu Wa Ripoti Mbalimbali Ifeanyi Amefariki Kwa Kuzama Kwenye Swimming Pool Siku Chache Baada Ya Birthday Yake Oktoba 20. Amefariki Jumatatu Oktoba 31
Davido Na Chioma Walibarikiwa Kumpata Mtoto Wao Huyu oktoba 20, 2019.
View attachment 2403612
Wazazi na walezi kuna jambo la kujifunza hapo.
basi kashafariki maziko nigeriaMbona inasemekana katoto kapo ICU Jamani..mna uhakika na mnachokileta hapa?
Amin kwa sote asa kwenye vipind vyote vigumu katika maisha yetuMungu amfanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu
Sawa msemaji wa familia ya davidobasi kashafariki maziko nigeria
Shukrani madam rumaiya rambirambi yako nitumie kwenye namba ile ile jina litatokea mwigulu nchembaSawa msemaji wa familia ya davido
😢😢😢Natamani iwe si kweli ..it's so painful
Ni mtoto wa kiume huyu mkuu[emoji24][emoji24][emoji24]Vizuri havidumu, huenda ningemuoa mimi hapo baadae
Wewe rekebisha hapo juu huyu ni mtoto wa kiumeDavido Amempoteza Mtoto Wake Wa Kike #IfeanyiAdeleke Mwenye Umri Wa Miaka Mitatu 3 (Pichani).View attachment 2403611. Kwa Mujibu Wa Ripoti Mbalimbali Ifeanyi Amefariki Kwa Kuzama Kwenye Swimming Pool Siku Chache Baada Ya Birthday Yake Oktoba 20. Amefariki Jumatatu Oktoba 31
Davido Na Chioma Walibarikiwa Kumpata Mtoto Wao Huyu oktoba 20, 2019.
View attachment 2403612
Wazazi na walezi kuna jambo la kujifunza hapo.