Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Kutokana na umaarufu wa nchi yao kwenye ndumba nina hakika hili litahusishwa na uchawi pia, kuwa kamtoa sadaka.
Pole nyingi kwake na familia yake.
Pole nyingi kwake na familia yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo picha nilifikiri ni wa kike, katoto kazuri sanaNi mtoto wa kiume huyu mkuu
Hata miezi miwili haijapita hilo tukio kwa kweli.Swimming sio kwa watoto tu kuna dada juzi raia wa kenya mtu mzima kafa kwenye swimming na alikuwa anaogelea huku anajirekod
yah inaonesha upo vizur kwenye kumbukumbuHata miezi miwili haijapita hilo tukio kwa kweli.
Kwanini tusitafsiri kuwa ni mipang ya mungu tu . kwanini kila kitu tutafsiri katika ubaya kwani ukiwa na kipato wewe ni muabudu shetanHao ni devil worshipper,,hiyo ni sadaka kwa miungu yao
kweli ila tunatakiwa kubadilika sasa sio kila tukio tusem ni la ushirikina kuna mtu tukubali ni mipang ya mungu tuKutokana na umaarufu wa nchi yao kwenye ndumba nina hakika hili litahusishwa na uchawi pia, kuwa kamtoa sadaka.
Pole nyingi kwake na familia yake.
Ni hatari sana kwa kweliSwimming sio kwa watoto tu kuna dada juzi raia wa kenya mtu mzima kafa kwenye swimming na alikuwa anaogelea huku anajirekod
Ungeolewa labda maana inasemekana ni wa kiume mkuu[emoji24][emoji24][emoji24]Vizuri havidumu, huenda ningemuoa mimi hapo baadae
😁😁😁😁 oi mujue tupo kwenye majonziUngeolewa labda maana inasemekana ni wa kiume mkuu
AminApumzike kwa amani.
kwel kabisa 100%Ni hatari sana kwa kweli
Sioni ulazima kuwa na swimming pool nyumbani kama una hela beach zimejaa duniani
Kwa.sisi hata jaba la maji ni hatari itakuwa swimming pool
Kwa hiyo Mungu ndo kamuua dogo ili Davido, mke wake, familia, ndugu na jamaa na marafiki wahuzunike walie na wahuzunike kwa uchungu?Kwanini tusitafsiri kuwa ni mipang ya mungu tu . kwanini kila kitu tutafsiri katika ubaya kwani ukiwa na kipato wewe ni muabudu shetan
Hata mie nimesikia yuko ICU.Mbona inasemekana katoto kapo ICU Jamani..mna uhakika na mnachokileta hapa?
Umeambiwa ni wa kiume.[emoji24][emoji24][emoji24]Vizuri havidumu, huenda ningemuoa mimi hapo baadae
Hii kesi ya mansalughter kabisaa.. plus Negligence
Mmmh mbona ana muonekano wa kike nkajua girlNi mtoto wa kiume huyu mkuu