Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Na mimi nimeona tatizo kwenye comment yake. Sad!basi waafrika tuna tatizo pahala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi nimeona tatizo kwenye comment yake. Sad!basi waafrika tuna tatizo pahala
tunaiga sana life style za wenzetu. lakini yote ya yote ndo yashatokea lawama amrudishi mtoto kuwa hai wala aibadilishi kituNa mimi nimeona tatizo kwenye comment yake. Sad!
Hizi taarifa za kifo, sina hakika nazo kwa kweli.Wasemaji wa familia za wengine ni wengi mdogo wangu
Binadamu tumejitwika uwezo mkubwa kuliko uhalisia kiasi cha kusahau kudra na hukum za Mungu. Kila nafsi itaonja mauti lakini cha ajabu tunawapa wanadamu wenzetu nguvu kubwa kusahau kuwa mauti ni ada ya kila muumba.kweli ila tunatakiwa kubadilika sasa sio kila tukio tusem ni la ushirikina kuna mtu tukubali ni mipang ya mungu tu
Msiba mzito sana huuuDavido Amempoteza Mtoto Wake Wa Kiume #IfeanyiAdeleke Mwenye Umri Wa Miaka Mitatu 3 (Pichani).View attachment 2403611
Kwa Mujibu Wa Ripoti Mbalimbali Ifeanyi Amefariki Kwa Kuzama Kwenye Swimming Pool Siku Chache Baada Ya Birthday Yake Oktoba 20. Amefariki Jumatatu Oktoba 31
Davido Na Chioma Walibarikiwa Kumpata Mtoto Wao Huyu oktoba 20, 2019.
View attachment 2403612
Wazazi na walezi kuna jambo la kujifunza hapo.
---
Mtoto wa mwanamuziki Davido Adeleke na mpenzi wake Chioma Rowland, Ifeanyi Adeleke (3) amefariki dunia baada ya kuzama kwenye bwawa la kuogelea ‘Swimming Pool’ nyumbani kwao.
Vyombo mbalimbali vya habari nchini Nigeria vinaripoti kuwa mtoto huyo alifariki jana Jumatatu Oktoba 31, 2022.
Taarifa zinasema Ifeanyi alizama kwenye maji kwa muda mrefu kabla ya wazazi wake hawajagundua kutoweka kwa mtoto wao na baadaye walikuta akielea kwenye maji.
Davido anakuwa msanii wapili nchini humo kumpoteza mtoto kwa kuzama kwenye maji, kwani mwaka 2018 moto wa msanii D’Banj naye alipoteza maisha katika tukio kama hilo.
kabisa mkuuMsiba mzito sana huuu
kabisa mkuu cha umuhimu n kumuomba atupe mwisho mwema sisi na wenzetu piaBinadamu tumejitwika uwezo mkubwa kuliko uhalisia kiasi cha kusahau kudra na hukum za Mungu. Kila nafsi itaonja mauti lakini cha ajabu tunawapa wanadamu wenzetu nguvu kubwa kusahau kuwa mauti ni ada ya kila muumba.
kadri siku zinzvyozidi kwenda ndio tunazidi kumsahau Mungu.
Nikusahihishe,mtoto ni wa kiume hakunaga mwanaume mrembo.Aisee karembo[emoji24]
yale mara nyingi uwekwa wakati wa usiku . ila wakati wa asubhu mara nyingi swimming uwa wazi kutokana asubuh maswimming mengi ufanyiwa usafi.Kuna yale madude ya kufunika swm pool inakuwaje wanaacha wazi na kuna watoto
In Shaa Allah Amiin.kabisa mkuu cha umuhimu n kumuomba atupe mwisho mwema sisi na wenzetu pia
🙏🙏🙏🙏In Shaa Allah Amiin.
Tunapenda kuiga bila akili kisa pesa ipo!!!basi waafrika tuna tatizo pahala
yah this is a good idea kwa kwelKuna mtu mmoja Uganda alipoteza mapacha wa kiume hvhv somo kubwa sana kwetu hakikisha mtoto yupo usoni pako mda wote wapenda kuogelea nunueni inflatables au ile midubwasha ya kujaza upepo na maji unaweka baada ya kufanya usamaki wako unamwaga maji unalitundika hukoooooo
Hata pressure ikikuta kwenye maji lazima ikupige!!!Swimming sio kwa watoto tu kuna dada juzi raia wa kenya mtu mzima kafa kwenye swimming na alikuwa anaogelea huku anajirekod
🤣Ungeolewa labda maana inasemekana ni wa kiume mkuu
Hata hili puto Mzazi ukizembea kidogo tu,unamkosa Mtoto wako!!!Kuna mtu mmoja Uganda alipoteza mapacha wa kiume hvhv somo kubwa sana kwetu hakikisha mtoto yupo usoni pako mda wote wapenda kuogelea nunueni inflatables au ile midubwasha ya kujaza upepo na maji unaweka baada ya kufanya usamaki wako unamwaga maji unalitundika hukoooooo