TANZIA Mtoto wa mwanamziki Davido Afariki Dunia akiwa anaogelea

TANZIA Mtoto wa mwanamziki Davido Afariki Dunia akiwa anaogelea

kweli ila tunatakiwa kubadilika sasa sio kila tukio tusem ni la ushirikina kuna mtu tukubali ni mipang ya mungu tu
Binadamu tumejitwika uwezo mkubwa kuliko uhalisia kiasi cha kusahau kudra na hukum za Mungu. Kila nafsi itaonja mauti lakini cha ajabu tunawapa wanadamu wenzetu nguvu kubwa kusahau kuwa mauti ni ada ya kila muumba.
kadri siku zinzvyozidi kwenda ndio tunazidi kumsahau Mungu.
 
Davido Amempoteza Mtoto Wake Wa Kiume #IfeanyiAdeleke Mwenye Umri Wa Miaka Mitatu 3 (Pichani).View attachment 2403611

Kwa Mujibu Wa Ripoti Mbalimbali Ifeanyi Amefariki Kwa Kuzama Kwenye Swimming Pool Siku Chache Baada Ya Birthday Yake Oktoba 20. Amefariki Jumatatu Oktoba 31

Davido Na Chioma Walibarikiwa Kumpata Mtoto Wao Huyu oktoba 20, 2019.

View attachment 2403612

Wazazi na walezi kuna jambo la kujifunza hapo.

---

Mtoto wa mwanamuziki Davido Adeleke na mpenzi wake Chioma Rowland, Ifeanyi Adeleke (3) amefariki dunia baada ya kuzama kwenye bwawa la kuogelea ‘Swimming Pool’ nyumbani kwao.

Vyombo mbalimbali vya habari nchini Nigeria vinaripoti kuwa mtoto huyo alifariki jana Jumatatu Oktoba 31, 2022.

Taarifa zinasema Ifeanyi alizama kwenye maji kwa muda mrefu kabla ya wazazi wake hawajagundua kutoweka kwa mtoto wao na baadaye walikuta akielea kwenye maji.

Davido anakuwa msanii wapili nchini humo kumpoteza mtoto kwa kuzama kwenye maji, kwani mwaka 2018 moto wa msanii D’Banj naye alipoteza maisha katika tukio kama hilo.
Msiba mzito sana huuu
 
Binadamu tumejitwika uwezo mkubwa kuliko uhalisia kiasi cha kusahau kudra na hukum za Mungu. Kila nafsi itaonja mauti lakini cha ajabu tunawapa wanadamu wenzetu nguvu kubwa kusahau kuwa mauti ni ada ya kila muumba.
kadri siku zinzvyozidi kwenda ndio tunazidi kumsahau Mungu.
kabisa mkuu cha umuhimu n kumuomba atupe mwisho mwema sisi na wenzetu pia
 
Rest in peace [emoji120] dogo. Pole kiongozi Davido
 
Kuna yale madude ya kufunika swm pool inakuwaje wanaacha wazi na kuna watoto
yale mara nyingi uwekwa wakati wa usiku . ila wakati wa asubhu mara nyingi swimming uwa wazi kutokana asubuh maswimming mengi ufanyiwa usafi.
 
Kuna mtu mmoja Uganda alipoteza mapacha wa kiume hvhv somo kubwa sana kwetu hakikisha mtoto yupo usoni pako mda wote wapenda kuogelea nunueni inflatables au ile midubwasha ya kujaza upepo na maji unaweka baada ya kufanya usamaki wako unamwaga maji unalitundika hukoooooo
 

Attachments

  • Oeves-Blow-up-Swim-Pool-with-Canopy-.jpg
    Oeves-Blow-up-Swim-Pool-with-Canopy-.jpg
    97.2 KB · Views: 6
Kuna mtu mmoja Uganda alipoteza mapacha wa kiume hvhv somo kubwa sana kwetu hakikisha mtoto yupo usoni pako mda wote wapenda kuogelea nunueni inflatables au ile midubwasha ya kujaza upepo na maji unaweka baada ya kufanya usamaki wako unamwaga maji unalitundika hukoooooo
yah this is a good idea kwa kwel
 
Kuna mtu mmoja Uganda alipoteza mapacha wa kiume hvhv somo kubwa sana kwetu hakikisha mtoto yupo usoni pako mda wote wapenda kuogelea nunueni inflatables au ile midubwasha ya kujaza upepo na maji unaweka baada ya kufanya usamaki wako unamwaga maji unalitundika hukoooooo
Hata hili puto Mzazi ukizembea kidogo tu,unamkosa Mtoto wako!!!
 
Back
Top Bottom