TANZIA Mtoto wa mwanamziki Davido Afariki Dunia akiwa anaogelea

TANZIA Mtoto wa mwanamziki Davido Afariki Dunia akiwa anaogelea

Wamezidi kutengeneza mi swimming pool majumbani kwao na hawana uangalizi mzuri wa watoto
Davido Amempoteza Mtoto Wake Wa Kiume #IfeanyiAdeleke Mwenye Umri Wa Miaka Mitatu 3 (Pichani).View attachment 2403611

Kwa Mujibu Wa Ripoti Mbalimbali Ifeanyi Amefariki Kwa Kuzama Kwenye Swimming Pool Siku Chache Baada Ya Birthday Yake Oktoba 20. Amefariki Jumatatu Oktoba 31

Davido Na Chioma Walibarikiwa Kumpata Mtoto Wao Huyu oktoba 20, 2019.

View attachment 2403612

Wazazi na walezi kuna jambo la kujifunza hapo.

---

Mtoto wa mwanamuziki Davido Adeleke na mpenzi wake Chioma Rowland, Ifeanyi Adeleke (3) amefariki dunia baada ya kuzama kwenye bwawa la kuogelea ‘Swimming Pool’ nyumbani kwao.

Vyombo mbalimbali vya habari nchini Nigeria vinaripoti kuwa mtoto huyo alifariki jana Jumatatu Oktoba 31, 2022.

Taarifa zinasema Ifeanyi alizama kwenye maji kwa muda mrefu kabla ya wazazi wake hawajagundua kutoweka kwa mtoto wao na baadaye walikuta akielea kwenye maji.

Davido anakuwa msanii wapili nchini humo kumpoteza mtoto kwa kuzama kwenye maji, kwani mwaka 2018 moto wa msanii D’Banj naye alipoteza maisha katika tukio kama hilo.

Mungu wangu[emoji24][emoji24][emoji24]

Ila hawa wapopo sio wa kuwaamini sana kuna sacrifice kibao kwenye huo utajiri wao we acha tu[emoji848][emoji848]

Evelyn Salt
Tutegemee ujio wa kutisha kutoka kwa Davido😀😀
 
Yup, karibia kila mwaka someone around davido anafariki.
Pia ni november... sacrifice season!
Na mi hili ndo linanitatiza kila mwaka mtu wake anakufa tena yule wa mwisho nae alizama kwenye swimming pool
Nimeona huko kwenye comment kwa wanaija watu wanauliza davido what did you do to ife?
Kama ni kweli anawatoa kafara namuonea huruma chioma kama ye hausiki!
 
masikini wanaamini tajiri anatakiwa kutoa na masikini hapaswi kutoa huku tajiri akiamini masikini si mtu kwan ukarib wake ni kwasababu una kitu.

tuombeane mwisho mwema
Kweli kabisa mkuu
Tuombeane mwisho mwema
Mimi sio muumini wa uchawi bali najua jicho ni baya sana

Tajiri hana ulazima wa kuonyesha ufahari wake kwani zinaweza kuisha zote
Hakuna anaejua atapata au kukosa bali zinakuja tu au hupati tu
 
Hata bint wa Cecil mwambe nae alifia kwenye swimming pool
 
Afu haya mambo ya birthday za kifahari za watoto wao lazima lizuke jambo zito

Unamkumbuka mtoto wa bushiri?

Baada ya birthday ya kifahari ya yule binti yao kilichofuata[emoji848][emoji848]
Me nadhani huwa wanafanya sherehe za kuwaaga maana huwa wanajua nini kinakwenda kutokea.
Ndo style zao hizo.
Maisha ni kuchagua na wamehagua hivyo acha waishi life is short mazeee
 
Swimming sio kwa watoto tu kuna dada juzi raia wa kenya mtu mzima kafa kwenye swimming na alikuwa anaogelea huku anajirekod
Kuna miujiza humo ndani ya maji? Dah hata huku ninapoishi kuna mdada alipoteza uhai kwenye swimming pool
 
Me nadhani huwa wanafanya sherehe za kuwaaga maana huwa wanajua nini kinakwenda kutokea.
Ndo style zao hizo.
Maisha ni kuchagua na wamehagua hivyo acha waishi life is short mazeee
Ila ukiangalia Twitter zao wa Nigerians wanasema ni ndumba maana nao hawajambo kwa Imani za kishirikina

Hizi baadhi ya tweets zao
Halafu compare na likes [emoji106] zilivyo utajua kuna kitu
Screenshot_20221101-093105_Twitter.jpg
Screenshot_20221101-093359_Twitter.jpg
 
Hizi zingine ni blah blah....haya ni mambo ya billionaire club mkuu!

Wao wanajua wanachokifanya!

Kuna drama lilikuwa linaendelea kati ya chioma na David kumbe ulikuwa zuga watu wasistukie[emoji848]
Nakutegemea kwenye hizi Habari unipe kidogo maana mimi sio mshabiki kabisa wa hao Nigerian
Wamemuuwa labda wanawake wanaomchukia dem wake ama
Screenshot_20221101-093359_Twitter.jpg
 
Back
Top Bottom