TANZIA Mtoto wa mwanamziki Davido Afariki Dunia akiwa anaogelea

TANZIA Mtoto wa mwanamziki Davido Afariki Dunia akiwa anaogelea

Na mi hili ndo linanitatiza kila mwaka mtu wake anakufa tena yule wa mwisho nae alizama kwenye swimming pool
Nimeona huko kwenye comment kwa wanaija watu wanauliza davido what did you do to ife?
Kama ni kweli anawatoa kafara namuonea huruma chioma kama ye hausiki!
Huyo Chioma mi mwenyewe simuamini....huyu demu huwa hawezi chomoa chochote anachoambiwa na Dave! Mtu wa show off sana

Na ndoa alikuwa anaitaka kwa sana tu, sasa sijui kutangaziwa kuolewa kaamua kujilipua[emoji1745][emoji1745]
 
RIP
wamemuachaje mpaka akafika huko?
Ndo madhara ya pesa nyingi bila akili.
Mtoto wa kiswazi aka kucheza na maji mpaka siku akikanyaga coco beach
 
Me nadhani huwa wanafanya sherehe za kuwaaga maana huwa wanajua nini kinakwenda kutokea.
Ndo style zao hizo.
Maisha ni kuchagua na wamehagua hivyo acha waishi life is short mazeee
Noma sana asee...kwa watoto inauma kishenzi
 
Huyo Chioma mi mwenyewe simuamini....huyu demu huwa hawezi chomoa chochote anachoambiwa na Dave! Mtu wa show off sana

Na ndoa alikuwa anaitaka kwa sana tu, sasa sijui kutangaziwa kuolewa kaamua kujilipua[emoji1745][emoji1745]
Kaona sio ishu kama mimba ntabeba ingine afterall anazalia marekani huko!
Duniani kuna siri nyingi sana,
 
Ila ukiangalia Twitter zao wa Nigerians wanasema ni ndumba maana nao hawajambo kwa Imani za kishirikina

Hizi baadhi ya tweets zao
Halafu compare na likes
emoji106.png
zilivyo utajua kuna kitu View attachment 2403865View attachment 2403866
Halafu utashangaa kuna raia atakuja kukubishia hapa kwamba hakuna kitu kama hii khaaa.
Kwa wajuvi wa mambo walaa hakuna kujiuliza saana iko wazi sacrificez
Kuna member mwenzao mmoja anavaaga vikuku miguu yote miwili yeye anashughulika na pombe tuu yaani kila awepo pombe ipo. Ni mwamba ila ndo anavaga vikuku dah CubanatheChiefPries
Ila kuna muda huwa wanajuta sna
Kama kwenye insta ya davido ukimuangalia huyo mwanamke wake week nzima jamaa alikuwa nae karibu sanaa saanaa. Lakini furaha ilikuwa km 0
 
Halafu utashangaa kuna raia atakuja kukubishia hapa kwamba hakuna kitu kama hii khaaa.
Kwa wajuvi wa mambo walaa hakuna kujiuliza saana iko wazi sacrificez
Kuna member mwenzao mmoja anavaaga vikuku miguu yote miwili yeye anashughulika na pombe tuu yaani kila awepo pombe ipo. Ni mwamba ila ndo anavaga vikuku dah CubanatheChiefPries
Ila kuna muda huwa wanajuta sna
Kama kwenye insta ya davido ukimuangalia huyo mwanamke wake week nzima jamaa alikuwa nae karibu sanaa saanaa. Lakini furaha ilikuwa km 0
Hawa wamerudiana juzi kati hapo...mwanzo ilikuwa tifu tifu, sasa sijui demu kasarenda
 
Aisee mimi hamna kitu sipendi kama maji na mambo ya swimming pool yanipite tuu.kama namuona chioma ngoja nikamtembelee kwenye account yake
usiyaogope maji jifunze kuogelea kuna mzee tukuyu huko mda huu anatengeneza SAFINA
 
Halafu utashangaa kuna raia atakuja kukubishia hapa kwamba hakuna kitu kama hii khaaa.
Kwa wajuvi wa mambo walaa hakuna kujiuliza saana iko wazi sacrificez
Kuna member mwenzao mmoja anavaaga vikuku miguu yote miwili yeye anashughulika na pombe tuu yaani kila awepo pombe ipo. Ni mwamba ila ndo anavaga vikuku dah CubanatheChiefPries
Ila kuna muda huwa wanajuta sna
Kama kwenye insta ya davido ukimuangalia huyo mwanamke wake week nzima jamaa alikuwa nae karibu sanaa saanaa. Lakini furaha ilikuwa km 0
🤔🤔🤔🤔 Wapopo na wabongo wanafana fanana hivi
 
Back
Top Bottom