TANZIA Mtoto wa mwanamziki Davido Afariki Dunia akiwa anaogelea

TANZIA Mtoto wa mwanamziki Davido Afariki Dunia akiwa anaogelea

Kweli mkuu haka katoto ntakua nakazuia kasiwe kanachezea maji maana kanapenda sana kucheza na maji, isije siku na sisi yakatukuta km yaliyomkuta Davido kwa ifeanyi
tuwalinde watoto lakin tumuombe mungu pia atulinde sisi na watu wetu wa karibu
 
Hizi zingine ni blah blah....haya ni mambo ya billionaire club mkuu!

Wao wanajua wanachokifanya!

Kuna drama lilikuwa linaendelea kati ya chioma na David kumbe ulikuwa zuga watu wasistukie[emoji848]
Kwahiyo mkuu, mtoto wa Davido yeye hatakiwi kufariki? Au anatakiwa kufariki Kwa mtindo upi ili awe amefariki kihalali kama mtoto wa Mzee Mosha hapa Moshi tuliotoka kumzika jioni hii?
 
Yup, karibia kila mwaka someone around davido anafariki.
Pia ni november... sacrifice season!
Mkuu davido tumeanza kumjua/kumskia miaka kadhaa nyuma kutokana na kazi yake ya usanii na tangu davido ametoka kwenye game hajawahi kushuka

Kwa Tanzania tumekuja kumfahamu vizuri kipindi ambacho ameshirikiana na msanii wetu Diamond mwaka 2014, nadhani ili kujaribu kutrace back history ya usemacho tukianzia hapo sio mbaya, tuanze na mwaka huu

1.Mwaka 2022 amefiwa na Mtoto wake
2.Mwaka 2021 alifiwa na rafiki yake karibu
3.Mwaka 2020 alifiwa na nani wa karibu?
4.Mwaka 2019 alifiwa na nani wa karibu?
5.Mwaka 2018 alifiwa na nani wa karibu?
6.Mwaka 2017 alifiwa na nani wa karibu?
7.Mwaka 2016 alifiwa na nani wa karibu?
8.Mwama 2015 alifiwa na nani wa karibu?

Karibu utujuze mkuu
 
Sitaki kusema sana, lakini tuweni wa kweli. Hivi huyo mtoto alikuwa wa kike au kiume? Maelezo yanasema ni mtoto wa kiume, lakini hizi picha zinaonyesha muonekano wa mtoto wa kike. Hapa pamenichanganya sana.

Ngoja tuseme alikuwa ni mtoto wa kiume, sasa kwa hizi swaga za mitindo na muonekano wa kike, angeishi na kuwa mkubwa ingewaje?
 
Mkuu davido tumeanza kumjua/kumskia miaka kadhaa nyuma kutokana na kazi yake ya usanii na tangu davido ametoka kwenye game hajawahi kushuka

Kwa Tanzania tumekuja kumfahamu vizuri kipindi ambacho ameshirikiana na msanii wetu Diamond mwaka 2014, nadhani ili kujaribu kutrace back history ya usemacho tukianzia hapo sio mbaya, tuanze na mwaka huu

1.Mwaka 2022 amefiwa na Mtoto wake
2.Mwaka 2021 alifiwa na rafiki yake karibu
3.Mwaka 2020 alifiwa na nani wa karibu?
4.Mwaka 2019 alifiwa na nani wa karibu?
5.Mwaka 2018 alifiwa na nani wa karibu?
6.Mwaka 2017 alifiwa na nani wa karibu?
7.Mwaka 2016 alifiwa na nani wa karibu?
8.Mwama 2015 alifiwa na nani wa karibu?

Karibu utujuze mkuu
We babu tena usijichanganye as if you can check me! Ok
Davido nimemfahamu tangu 2011, kwenye track inaitwa “back when” ft naeto c.
Mimi ni Wizkid fc to the core so simfatilii davido kivile, ila najua imeshalalamikiwa sana kwamba his associates die mysteriously.
Davido mwenyewe mama yake alifariki kiajabu ajabu hata yeye mwenyewe anasema hajawahi kuelewa story ya kifo cha mama yake (baba ni bilionea)
Kwasababu majina umeomba ngoja nigoogle nikuletee...
Ila namkumbuka rafiki yake Tagbo , maana girlfriend wake “caroline” alimhenyesha sana davido kwa madai ya kumtoa kafara, ndo kwenye ile nyimbo ya fia alimuadress “ Caroline save your drama for soap opera, I don’t need it”
 
Mkuu davido tumeanza kumjua/kumskia miaka kadhaa nyuma kutokana na kazi yake ya usanii na tangu davido ametoka kwenye game hajawahi kushuka

Kwa Tanzania tumekuja kumfahamu vizuri kipindi ambacho ameshirikiana na msanii wetu Diamond mwaka 2014, nadhani ili kujaribu kutrace back history ya usemacho tukianzia hapo sio mbaya, tuanze na mwaka huu

1.Mwaka 2022 amefiwa na Mtoto wake
2.Mwaka 2021 alifiwa na rafiki yake karibu
3.Mwaka 2020 alifiwa na nani wa karibu?
4.Mwaka 2019 alifiwa na nani wa karibu?
5.Mwaka 2018 alifiwa na nani wa karibu?
6.Mwaka 2017 alifiwa na nani wa karibu?
7.Mwaka 2016 alifiwa na nani wa karibu?
8.Mwama 2015 alifiwa na nani wa karibu?

Karibu utujuze mkuu
List ni hii;
1. Dj olu
2.Chime Amaechi
3.Tagbo Umeike
4.Ahmed
5.Teejay dmw
6. Obama bmw
7. Fortune( huyu nae alizama kwenye maji)
8. Mwanae
9. Acha mihemko, usikurupuke tena!
 
Mganga hana tatizo mkuu mganga ni wakala tuu ila masharti na vigezo huwa unakubali mwenyewe muhitaji na huyo devil
Inasikitisha sana mkuu kuamini mambo haya
Sijawahi kuamini kwa sababu father alikuwa anapinga sana na ukimuambia huyo ni mchawi anamfokea na kumkaripia sana
Alikuwa haogopi na anawapiga wakimzingua
Alikuwa anatuambia muaminini Mungu tu

Hawa wanaofuata masharti mpaka unamtoa na mzazi au mtoto ajabu sana for what utajiri au mapenzi daa
 
Inasikitisha sana mkuu kuamini mambo haya
Sijawahi kuamini kwa sababu father alikuwa anapinga sana na ukimuambia huyo ni mchawi anamfokea na kumkaripia sana
Alikuwa haogopi na anawapiga wakimzingua
Alikuwa anatuambia muaminini Mungu tu

Hawa wanaofuata masharti mpaka unamtoa na mzazi au mtoto ajabu sana for what utajiri au mapenzi daa
Uchawi upo mkuu ila hili la davido sidhani kama Lina uchawi ndani yake isipokuwa ni ajabu tu Swimming pool kuachwa wazi na wadada wa kazi kumsahau kabisa...!! Inaumizaa ilaa watu hasa wasanii marufu hawajifunzi ..
 
Back
Top Bottom