Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu na sisi tuna yetu😝mtu anakufa akikosa pumzi ndani ya dakik 5 tu. ila waafrika pia na sisi tuna yetu binafsi
[emoji28][emoji23]Acha usengee ongea hapa hapa live
Hahahaaa umeniua mbavu, hayo mambo ya watu wa facebook sina lolHalafu ni wewe ndo umeenda kumwaga kiswahili kwenye ile blogu[emoji23][emoji23][emoji38][emoji38]
Someone mama hellenah
Kama ni wewe umetisha[emoji119][emoji119][emoji119][emoji28]
Wa kiume dada, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Nilijua pisi[emoji44]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]RIP
wamemuachaje mpaka akafika huko?
Ndo madhara ya pesa nyingi bila akili.
Mtoto wa kiswazi aka kucheza na maji mpaka siku akikanyaga coco beach
Yaani [emoji631] ni shida sana kuishi hukoHawa wenzetu sijuagi nn shida wao kupotezwa ni kama kuchinja kuku tu. R.I.P Takeoff
Duu so sadHuyu David kila mwaka Kuna mtu anadondoka kwenye crew yake naona mwaka huu katoa his own blood
HaswaHuyu Dav achapwe viboko aseme ukweli asiachwe hivi hivi!
Kuna binadamu wana roho ngumu sana kwa kweliHalafu utashangaa kuna raia atakuja kukubishia hapa kwamba hakuna kitu kama hii khaaa.
Kwa wajuvi wa mambo walaa hakuna kujiuliza saana iko wazi sacrificez
Kuna member mwenzao mmoja anavaaga vikuku miguu yote miwili yeye anashughulika na pombe tuu yaani kila awepo pombe ipo. Ni mwamba ila ndo anavaga vikuku dah CubanatheChiefPries
Ila kuna muda huwa wanajuta sna
Kama kwenye insta ya davido ukimuangalia huyo mwanamke wake week nzima jamaa alikuwa nae karibu sanaa saanaa. Lakini furaha ilikuwa km 0
Kwani tukifa tunaenda wapi mkuu?Haujazaliwa na uoga wa kufa maana ukifa utazaliwa tena upya..
Sio swimming pool.tu hata haya majakuzi ni hatari kwa watotoHakuna kitu sipendi kwenye nyumba kama swimming pool nikienda nyumba yoyote na watoto kuna swimming pool nakosa amani kabisa nimeshuhudia kwa macho mtoto akitaka kuzama wa miaka 5 japo tulimuwahi kumtoa lakini kila nikikumbuka lile tukio nakosa amani kabisa ndio maana najisikia vibaya kwa family yoyote waliyowahi kupoteza mtu kwenye hali hii. Mimi nyumba ya swimming kama kituo cha police, family nyingi zimepitia hii hali ni hatari sana. Nawashauri wazazi msikubali watoto zenu kuingia humo mimi hata kama najuwa mtoto anajuwa kuogelea lakini akiingia katika maji sina amani. RIP
Kuna nini kwenye Swimming Pool?, maana kuna katoto ka sister kanapenda sana maji sasa itabidi niwe nakakataza kwenda kucheza kwenye majiSwimming sio kwa watoto tu kuna dada juzi raia wa kenya mtu mzima kafa kwenye swimming na alikuwa anaogelea huku anajirekod
Mtoto wa kiume ungemuoa vipi mkuu? Sijakuelewa umemaanisha nini? Yaan unataka kumuoa mwanaume mwenzio au sio?[emoji24][emoji24][emoji24]Vizuri havidumu, huenda ningemuoa mimi hapo baadae
kwenye swimming kuna maji tu boss. zingatieni sana kuwa na uangalizi na mtoto maana watoto wanapenda maji kuliko hata samakiKuna nini kwenye Swimming Pool?, maana kuna katoto ka sister kanapenda sana maji sasa itabidi niwe nakakataza kwenda kucheza kwenye maji
Huyo witnessj humuwezi,inaonekana anagongwa na Wapopoo!!moderator wanaona ujue iko kivumishi ulichokitumia
🤣🤣🤣 tumuache apumzike inawezekana kuna matatizo yanamsumbua ndo maana anakuwa mkali sanaHuyo witnessj humuwezi,inaonekana anagongwa na Wapopoo!!
Kweli mkuu haka katoto ntakua nakazuia kasiwe kanachezea maji maana kanapenda sana kucheza na maji, isije siku na sisi yakatukuta km yaliyomkuta Davido kwa ifeanyikwenye swimming kuna maji tu boss. zingatieni sana kuwa na uangalizi na mtoto maana watoto wanapenda maji kuliko hata samaki