Tajiri mpole
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 2,890
- 5,632
Kuna mtu mmoja Uganda alipoteza mapacha wa kiume hvhv somo kubwa sana kwetu hakikisha mtoto yupo usoni pako mda wote wapenda kuogelea nunueni inflatables au ile midubwasha ya kujaza upepo na maji unaweka baada ya kufanya usamaki wako unamwaga maji unalitundika hukoooooo
Mkuu watoto wanakufa kwa maji hata kwenye Ndoo tu hizi wanazotumia majumbani.Solution ni uangalizi mzuri wa watoto