TANZIA Mtoto wa mwanamziki Davido Afariki Dunia akiwa anaogelea

TANZIA Mtoto wa mwanamziki Davido Afariki Dunia akiwa anaogelea

Kuna yale madude ya kufunika swm pool inakuwaje wanaacha wazi na kuna watoto
Kuna mzee nilienda kwake he's rich kutoka Burkina Faso ana swimming pool lake akimaliza kuogelea analifunga na juu anaweka Meza na viti watu wanakunywa na kustarehe na huwezi kujua kama ni indoor swimming pool na hana watoto

Sijui wengine wanafeli wapi huku wakijua wana mtoto mdogo ambae hawawezi kumuangalia kila wakati

Ukisoma Habari zao wanasema mtoto alikuwa humo kwa mda mrefu
 
Washamla dogo tayari,wamemtoa wao wenyewe mazee.
Davido ana chama lake hilo linajiita "UNDER THE MANGO TREE" wazee wa pesa chafu wazee wa kutupiana pesa.
Ogopa sana matajiri warusha pesa angani.
Waabudu shetani hao lazima wamtolee Mungu wao.
Kina cubanachiefpriest,emoney,dbhanji na wengine.
Pesa nyingi ipo kwa ajili ya watu wachache wakuu wenye roho ngumu na wasio na huruma.
#Kafara hiyo
Afu haya mambo ya birthday za kifahari za watoto wao lazima lizuke jambo zito

Unamkumbuka mtoto wa bushiri?

Baada ya birthday ya kifahari ya yule binti yao kilichofuata[emoji848][emoji848]
 
Afu haya mambo ya birthday za kifahari za watoto wao lazima lizuke jambo zito

Unamkumbuka mtoto wa bushiri?

Baada ya birthday ya kifahari ya yule binti yao kilichofuata[emoji848][emoji848]
Huwa watu wanakufuru kwa pesa zao huku masikini wakiwaangalia kwa jicho la husda

Nimesikia matukio ya hivi mengi na mawili nilikuwepo
Moja ni jamaa alifanya harusi ya kifahari sana nchi moja Africa na furniture zote zilitoka Italy Enzi hizo

Mke siku ya pili akaamua kufukiza nyumba harufu nzuri ila akasahau chetezo karibu na Pazia

Nyumba yote ilitekeketea
Kiburi ni mbaya sana kwani kuna wengine wana macho ya husda sio vizuri kujionyesha sana
 
Hizi zingine ni blah blah....haya ni mambo ya billionaire club mkuu!

Wao wanajua wanachokifanya!

Kuna drama lilikuwa linaendelea kati ya chioma na David kumbe ulikuwa zuga watu wasistukie[emoji848]
Kwa hiyo Kafara ama
 
Afu haya mambo ya birthday za kifahari za watoto wao lazima lizuke jambo zito

Unamkumbuka mtoto wa bushiri?

Baada ya birthday ya kifahari ya yule binti yao kilichofuata[emoji848][emoji848]
Daa yule mtoto wa mchungaji
 
Davido Amempoteza Mtoto Wake Wa Kiume #IfeanyiAdeleke Mwenye Umri Wa Miaka Mitatu 3 (Pichani).View attachment 2403611

Kwa Mujibu Wa Ripoti Mbalimbali Ifeanyi Amefariki Kwa Kuzama Kwenye Swimming Pool Siku Chache Baada Ya Birthday Yake Oktoba 20. Amefariki Jumatatu Oktoba 31

Davido Na Chioma Walibarikiwa Kumpata Mtoto Wao Huyu oktoba 20, 2019.

View attachment 2403612

Wazazi na walezi kuna jambo la kujifunza hapo.

---

Mtoto wa mwanamuziki Davido Adeleke na mpenzi wake Chioma Rowland, Ifeanyi Adeleke (3) amefariki dunia baada ya kuzama kwenye bwawa la kuogelea ‘Swimming Pool’ nyumbani kwao.

Vyombo mbalimbali vya habari nchini Nigeria vinaripoti kuwa mtoto huyo alifariki jana Jumatatu Oktoba 31, 2022.

Taarifa zinasema Ifeanyi alizama kwenye maji kwa muda mrefu kabla ya wazazi wake hawajagundua kutoweka kwa mtoto wao na baadaye walikuta akielea kwenye maji.

Davido anakuwa msanii wapili nchini humo kumpoteza mtoto kwa kuzama kwenye maji, kwani mwaka 2018 moto wa msanii D’Banj naye alipoteza maisha katika tukio kama hilo.
Huyo dogo ni wa kiume au wa kike???
 
Hizi zingine ni blah blah....haya ni mambo ya billionaire club mkuu!

Wao wanajua wanachokifanya!

Kuna drama lilikuwa linaendelea kati ya chioma na David kumbe ulikuwa zuga watu wasistukie[emoji848]
🤔🤔🤔 kwann tusiseme mipang ya mungu kwan matajir ndo hawatakiw kufa au
 
Huwa watu wanakufuru kwa pesa zao huku masikini wakiwaangalia kwa jicho la husda

Nimesikia matukio ya hivi mengi na mawili nilikuwepo
Moja ni jamaa alifanya harusi ya kifahari sana nchi moja Africa na furniture zote zilitoka Italy Enzi hizo

Mke siku ya pili akaamua kufukiza nyumba harufu nzuri ila akasahau chetezo karibu na Pazia

Nyumba yote ilitekeketea
Kiburi ni mbaya sana kwani kuna wengine wana macho ya husda sio vizuri kujionyesha sana
masikini wanaamini tajiri anatakiwa kutoa na masikini hapaswi kutoa huku tajiri akiamini masikini si mtu kwan ukarib wake ni kwasababu una kitu.

tuombeane mwisho mwema
 
Daah so handsome. Natamani isiwe habari ya kweli
 
Back
Top Bottom